Good Father
JF-Expert Member
- Feb 28, 2014
- 10,320
- 18,595
Ukiona manyoya ujue kaliwa
Pole mkuu


Pole mkuu






Pole sanaaa Mungu akufanyie wepesiYah, nakuaminia jembe
Mimi nitakuwa poa baadae baadae kdg, baada ya masaa mawili..swaum ya leo kali imenishika tangu saa 2 asbh.
Masaa hayatembei kabisa, leo
Wapendwa marafiki.
Nimekaa nimewaza nikaona nitoe dukuduku hili.
Unajua kwanini wakaka mahandsome hawaoi?
Nawakioa asilimia chache wanadumu asilimia kubwa hawadumu kwenye ndoa.
Haya ndio majibu ya ukweli.
1.wanajisikia wanajijengea wao ni wazuri saa yeyote watapata wanawake.
2.wanavijisheria vyao vibovu kabisa.
3.unakuta asilimia kubwa wamejijengea mwanamke akilini wa kumuoa mf. Mastaa , wenye chura,wenye kujichubua nakuvaa nguo kali kali unakuta unapoteza muda katika watu ambao nao hawana malengo yakusettle kuwa mke wamtu wao bado wanatafuta tofauti nahuo uhandsme wakobado hakupendi hujamvutia anakula na wewe maisha tu uko serious naye unamwonyesha kwenu kwa mabest akishamaliza show yenu anaanza kushtuka utamuoa au kumfuatilia anasepa so unabwagwa.
Anayekuja kumuoa demu wako nijamaa wakawaida i mean sura hakuna .
Unatafuta mke mpaka ukimpata unakuta ni malaya anampeleka mtoto bar mwingine hanyanyui hata mguu hakujali yeye ni simu na laptop hata hakupi haki yako yupo nimechoka mpenzi tufanye siku inginee.
Sasa unakaa naye mpaka unatoka nje nakikupa unahangaika mwenyewe.
Upo unaawaacha wadada wanaokupenda kukujali nakukuheshimu kisa ya sura au hana chura au anayo hana miguu mizuri au anakila kitu ni kwa maana mfupi au mrefu sana humtaki unamkataa au kwa maana kwenu ni muislamu humtaki mkristo .
Utashinda ukipiga miayo wenzako hawakuchagua wanawatoto wakubwa wako msingi wewe unabaki tu unashangaa umezeeka unasura imeanza kuchuja unasaka mke ambae kiuhalisia hayuko ila yupo akilini.
Usipoangalia utachagua mpaka uzeeke ufe.
Kwa maana mwanamke ni yule wakawaida tu.
Ilimradi akupe hitaji la moyo wako ulishawahi kumuona rihana na beyonce wameshawahi kudate na mtanzania gani?
Kaa tu Rihana atakuonaga kwenye JF.
Kabisa aiseeMbona hii mada ni kama kuna mtu unamtolea povu?
Pole sana!
hivyo kwa kuanzia vinatosha shemWow, usijali.
Nini kingine unapenda nikuletee shem.
Jus feel free nikubebee
Kweli eh! Haya bhanaMimi handsome najijua lakini nimetulia tuli.Halafu sio mtu wa wanawake.
Handsome na Mimi kushoto na kuliaMm ndio mana napenda mwanaume mwenye sura mbaya sura ngumu ya kiume pendeni mahandsome hivyo hivyo ana list yake ndefu hajui ataoa yupi
Wewe sijiachi kizembe wewe unasikia nashobokea wazuri nawatumiaga tu halafu nastiki nawakawaidaUkiona manyoya ujue kaliwa
Pole mkuu![]()
Navopenda sura ngumu miyeee!!!balaaMahendisamu wakiwatenda ndio huwa mnakimbilia kwa sisi ma goat face!!
Shemeji
AbeeehShemeji
We na ma handsome au sura ngumuAbeeeh
Shem wangu mm
Best Comment off all time
UrongooNavopenda sura ngumu miyeee!!!balaa
KweliUrongoo

Hivi Vialama Vina Maana Gani?😀😀😀😀
Mahendisamu wakiwatenda ndio huwa mnakimbilia kwa sisi ma goat face!!
Hela za maboya umuhonge mwanaume kisa nini?My handsome M Ebu pita Pande hizi... nasikia Umeoa nwdays!! ila Mwanaume unapenda hela za wanawake mpka nakuogopa... !!!Ndukiii