Mapenzi ya kweli yapo jamani

Mapenzi ya kweli yapo jamani

True love is like a ghost,very few have seen it",not my words ila wahenga ndo wasemavyo!
 
A well lived today will bring a lovely tommorow..usijali wala kuogopa kitakachotokea kesho.. unajuaje kama utafika hyo kesho. Zidisha upendo siku hii ya leo...kesho will take care of itself....
 
Hah jamani msimtishe bana, wanaume/wanawake wa ukweli wapo sana tu. kinachotokea watu wanaingia kwa kutamaniana sio kwa kupendana ndo maana ile tamaa ikiisha visa vinaanza ila ukimpata mtu uliyempenda kweli na mioyo yenu ikakubaliana utaona pepo duniani.

Lakini maangalizo pia katika ulimwengu wa leo usiyapuuze, siku za mwanzo huwa ni hivyo, so take your time to know that guy better and not just gullible for his maybe short time caring before you full insert yourself in him. Ila ikiwa bahati yako kula bata.
 
hivi wanaume huwajui eeeh! utashangaa siku ya siku anakuwa kama nyati!

Wa kama nyati alishakuwa nae ssahivi ni wakati wa kumtia moyo zaidi mola awajaalie wafunge ndoa wasiishie hapo walipo
 
A well lived today will bring a lovely tommorow..usijali wala kuogopa kitakachotokea kesho.. unajuaje kama utafika hyo kesho. Zidisha upendo siku hii ya leo...kesho will take care of itself....

Nimeamini ukiumwa na nyoka kweli usiguswe na unyasi, maana watu wanamshukia na alert kibao, watu wako tofauti jamani hawafanani hata, ata mliokwisha umia nina imani kuna siku mtastarehe aaaaarg tuache kumtia hofu mdada wa watu
 
Wanaume wenye upendo wa dhati tupo, msichoke kututafuta! Hatuna nembo wala alama yoyote! Pia nyie kina dada msidanganywe danganywe mkaamini kila mwanamme ana upendo wa dhati, hii kitu UPENDO ni tunu na wamepewa akina sisi wachache sana katika ulimwengu huu! Anaehitaji upendo wa dhati aniPm.

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
ntautafuta huu uzi after 3 months utupe feedback...2 actually...chezeya penzi likichuja..enewei have fun mana ndo mda wake huo
 
yaani wanawake siku tukiacha kushobokea wanaume ambao hawana real love kwetu ndo utakuwa mwisho wa sisi kuumizwa ktk mapenzi.tatizo letu sisi wanawake tunawadharau wale wanaotupenda kwa dhati tunashobokea masharobaro,mara pesa zao badala ya kujali upendo wa mwanaume.mwanamke ukitaka kuenjoy maisha kuwa na mwanaume anayekupenda kwa dhati.all the best mdada ktk relationship yako.
 
Ni mapema mno kusema maneno yote hayo. Muoane kwanza mkae 15 years halafu uje na shuhuda hapa
 
Hongera mwaya, wengi hawana mapenz ya kweli, ni wachache wenye mapenz kama hayo uliyopata.

Maana some times you can find TrueLove but no money wadada wengi hawavumili ndo maana kika kukicha utasikia wanaume waongo kumbe tunataka wenye note....
 
Back
Top Bottom