Nanoli
JF-Expert Member
- Oct 15, 2015
- 3,739
- 5,980
Miaka saba ukitafuta uwiano kila mwaka mmoja madem 7 hivi... Daah!!! Mbona kidogo hao 50. Mwaka nzma madem 7!! Unacheza mkuu.Mkuu hongera..Miaka saba kuna watu wameshadate watu zaidi ya 50..Endeleeni kuwa waaminifu hivyohivyo..Mbarikiwe sana