Mapenzi ya kimashaka

Mapenzi ya kimashaka

Naomba nikuulize,ivi hiyo miaka 7 na wewe kwanini hutaki kuoa? au unataka upewe ukimbie?
OA jamani usiziniiiii kama mambo bado basi wewe zidi kusubiri na kama umeweza kusubiri miaka 7 <kama kweli>
basi unaweza kusubiri hata miaka 10.... halafu wewe utakua sio mwanamme wa DAR...
Umeanza madongo sio?
Miaka7 hamjachunguliana! Mko mbalimbali?
Naomba nikuulize,ivi hiyo miaka 7 na wewe kwanini hutaki kuoa? au unataka upewe ukimbie?
OA jamani usiziniiiii kama mambo bado basi wewe zidi kusubiri na kama umeweza kusubiri miaka 7 <kama kweli>
basi unaweza kusubiri hata miaka 10.... halafu wewe utakua sio mwanamme wa DAR...
Lakini mimi naomba nikuulize jamani?,.,,.hivi wewe mtu akikuomba tunda ina maana utamnyima kwa kuogopa eti akiisha kula mautamu baasi atakukimbia?,basi ina maana haujiamini wewe au una KASORO sio bure,lakini kama unajiamini wewe ni CHOMBO basi huwezi kujali.UTAPANUA na utagawa huku ukijua MBUNYE YAKO nawewe mwenyewe uko POUWA.
 
Naomba nikuulize,ivi hiyo miaka 7 na wewe kwanini hutaki kuoa? au unataka upewe ukimbie?
OA jamani usiziniiiii kama mambo bado basi wewe zidi kusubiri na kama umeweza kusubiri miaka 7 <kama kweli>
basi unaweza kusubiri hata miaka 10.... halafu wewe utakua sio mwanamme wa DAR...
Hakuna cha kupewa na kukimbia wala nini?,ukianza kuogopa kumgawia mtu mbunye ujue wewe una KASORO,hata kama MBUNYE inanuka wewe usijali coz sisi wanaume wengi wetu tunapenda MBUNYE inayonuka kike,yaani ile harufu ya samaki au panya wa juzi ,hiyo hutupa MZUKA jamaniiiiiii.
 
dem akikubania game jua kuna mtu anapewa kiulaiiiiniii,me kuna jamaa angu ana dem wa kuhave naye fun tuu(hana malengo naye)lakin kuna boya anataka kuoa kaambiwa hapew unyumba had aoe.
 
Wanaume wa mikowani shidaaaa. Hata nyumba ya kimasikini miaka 7 ushamaliza kujenga
 
Hakuna cha kupewa na kukimbia wala nini?,ukianza kuogopa kumgawia mtu mbunye ujue wewe una KASORO,hata kama MBUNYE inanuka wewe usijali coz sisi wanaume wengi wetu tunapenda MBUNYE inayonuka kike,yaani ile harufu ya samaki au panya wa juzi ,hiyo hutupa MZUKA jamaniiiiiii.
Hata sijaelewa una maanisha nini....laikini sawa...
 
Hakuna cha kupewa na kukimbia wala nini?,ukianza kuogopa kumgawia mtu mbunye ujue wewe una KASORO,hata kama MBUNYE inanuka wewe usijali coz sisi wanaume wengi wetu tunapenda MBUNYE inayonuka kike,yaani ile harufu ya samaki au panya wa juzi ,hiyo hutupa MZUKA jamaniiiiiii.

Hahaha hahaha shombo la fish
 
miaka saba asee una moyo . me kesho namaliza mwez tangu niwe na mchepuko mwingne afu bado cjaona papuch ikifika mwez na cku nne namtema mbaaaaavu tena no zake cjashka ata hanisumbui,

kwa hyo bro ata breast hujawah chezea ? ushajarbu kumuandaa kwel au unataka aje akuvulie akwambie haya piga baba
 
Miaka sana 7 hujado?? Wewe ni mzima kweli? Ndiomaana huyo demu kakuona mtambo. Sasa kwa miaka saba mlikuwa mnafanya nini na huyo MPENZI wako? Changamka wewe mtoto wa kiume.
 
Hana msisimko na wewe, huyo anataka ndoa tu baada ya kugaragazwa na kuchakazwa sana na wanaume. Ana wasiwasi ukimfunua,hutarudi maana amechoka.
 
"... Basi nikamwambia tuachane kwakua hunipendi'"..... We ushajua na umeambiwa hupendwi, unajadiliana vipi kuachana na mtu ambaye hakupendi? Kwahiyo hautamuacha ikiwa yeye hatakubali muachane akiwa Hakupendi? We ni dhaifu mno.... Miaka saba hujachomeka, hakupendi ila ana hisia tu, unamuomba muachane hataki...... Duuh! Muulize sasa yeye mara ya mwisho kugegedwa ni lini atakuambia JUZI.
 
Back
Top Bottom