Mapenzi ya kimashaka

Mapenzi ya kimashaka

The greater man

JF-Expert Member
Joined
Feb 8, 2015
Posts
237
Reaction score
190
Naombeni mchango wenu,

Wapendwa mimi nina mpenzi wangu, niko nae kwa takribani miaka saba lakini sujawai kufanya nae mapenzi siku nikaja kumuomba mahaba niue akaniambia hawezi nipa mpaka nimuoe.

Sikukaa kimya nikamuuliza swali hivi kabla ya kuwa na mimi ulishawai kuwa na mpenzi akaniambia ndio nikamuuliza kwanini uliachana nae akaniambia tulishindwana kwakuwa mwezangu sio muelewa na wakigombana utoa lugha ya matusi, nikaendelea kumpa maswali kwanini mwezangu ulifanikiwa kumpa kabla ya ndoa akanijibu nilipenda tu.

Nikamuuliza kwahiyo mimi hunipendi akanijibu kwamba anahisia na mimi, badala ya hapo nikamwambia basi tuachane kwakuwa unipendi akanijibu sawa,baadae akaanza kunibembeleza ooh umekasirika mpenzi nilikutania bana usikasirike.

Hivi kwa tafsiri zenu mafundi wa mambo haya huyu ananipenda au hanipendi?
 
miaka yote hyo unakuaga unafanya nin sasa? endelea kumsubir utaona si yuko peke yake dunia nzima
 
Naomba nikuulize,ivi hiyo miaka 7 na wewe kwanini hutaki kuoa? au unataka upewe ukimbie?
OA jamani usiziniiiii kama mambo bado basi wewe zidi kusubiri na kama umeweza kusubiri miaka 7 <kama kweli>
basi unaweza kusubiri hata miaka 10.... halafu wewe utakua sio mwanamme wa DAR...
 
W
Naomba nikuulize,ivi hiyo miaka 7 na wewe kwanini hutaki kuoa? au unataka upewe ukimbie?
OA jamani usiziniiiii kama mambo bado basi wewe zidi kusubiri na kama umeweza kusubiri miaka 7 <kama kweli>
basi unaweza kusubiri hata miaka 10.... halafu wewe utakua sio mwanamme wa DAR...
Wanaume wa dar wapoje mkuu ??
 
Mkuu hongera..Miaka saba kuna watu wameshadate watu zaidi ya 50..Endeleeni kuwa waaminifu hivyohivyo..Mbarikiwe sana
 
Mh? Vp na we hyo miaka7 hujaduu na mwingine?? Yawezekana ana kuchunguza ndo maana hatak kukupa au ana hisi akikupa utamuacha kama alivyofanyiwa na huyo ex wake
 
Kuna Watu ni zaidi ya mastarling,7yrs no game na bado una mwanamke?
Miaka 7 hujapiga game na huna substance kweli.
 
Naomba nikuulize,ivi hiyo miaka 7 na wewe kwanini hutaki kuoa? au unataka upewe ukimbie?
OA jamani usiziniiiii kama mambo bado basi wewe zidi kusubiri na kama umeweza kusubiri miaka 7 <kama kweli>
basi unaweza kusubiri hata miaka 10.... halafu wewe utakua sio mwanamme wa DAR...
Anatafuta Life experience wapo wanafikisha mpaka miaka 10na iyo saba wala si ya kumsakama sana,
Tupe sifa za wanaume wa Dar maana ukute wengi hatuwajui wamezaliwaje
 
Back
Top Bottom