JUKUMU
Member
- Apr 5, 2009
- 76
- 31
kusema kweli mimi napenda sana akiniheshimu mimi, ndugu jamaa na marafiki.So funny, vipi kama akifanya kwa vitendo akakuletea kasuku atakayekuwa anakutamkia neno "nakupenda" kila uamkapo utaridhika kuwa anakupenda?
Lol!
pili awe msafi wa kila kitu sio mwili 2
3. asiwe mtu wa kukasirika au kusikiliza maneno ya watu
4. ajue hisia ni nini, yaani ajue pale ninapomuhitaji au anaponihitaji mimi awe anasema, maana wengine hawasemi, na matokeo yake wanatoka nje ya mahusiano pindi wanapokutana na wakinafataki.
5.uwongo kwangu mi ni sumu yaani nikijua ananidanganya huwa sitaweza kusonga mbele na yeye tena japo kudanganywa kupo ila si unajua kuna uwongo mzuri na mbaya ndugu?
yaani kwa ufupi mtu akiwa na hivyo nitaona ana ,mapenzi ya kweli/dhati.