Mapenzi ya dhati

MwanajamiiOne

Platinum Member
Jul 24, 2008
10,470
6,562
Wandugu wazima? Ninawasalimu kwa hisani ya JF inayotupa uwanja wa kujiexpress mawazo na mafeelings yetu.

Sote tunaelewa kuwa mapenzi yanatofautiana na pia hayana formula ila tu ninaomba kujua ile general content ya mapenzi na mambo ya kumtendea mpenzi wako.

Wanaume, kina kaka: Ni vitu gani akivifanya wifi (mkeo/girlfriend au demu wako) vinakudhihirishia kuwa anakupenda kwa dhati
Wanawake/ mawifi/ Shostito: ni vitu gani akikufanyia shem au kaka yangu vinakufanya umuone yeye ndo kila kitu hata aje fataki wa chuma yaani hutamtizama mara mbili.

Nimeuliza hivi kwa sababu nahisi nitajifunza kutoka kwenu ndugu zangu mengi juu ya mapenzi.
 
Sorry mie ninaanza vile ambavyo ninajua kwangu vinanidhihirishia ninapendwa

1. Kunijali (kujaliana) yaani ajue nini nijnahitaji na jinsi ya kunitimizia (sexually na hata mahitaji mengine but kikubwa ni kunirespect kama mimi ninavyomrespect
2. Awe ananionyesha kuwa ananipenda- kwa vitendo si maneno kwani maneno hata kasuku huzungumza!
 
1. Kunijali (kujaliana) yaani ajue nini nijnahitaji na jinsi ya kunitimizia (sexually na hata mahitaji mengine but kikubwa ni kunirespect kama mimi ninavyomrespect
2. Awe ananionyesha kuwa ananipenda- kwa vitendo si maneno kwani maneno hata kasuku huzungumza!

Vp amesha anza kurudi katika line? Kweli JF inatuelimisha jamani.
 
Sorry mie ninaanza vile ambavyo ninajua kwangu vinanidhihirishia ninapendwa

1. Kunijali (kujaliana) yaani ajue nini nijnahitaji na jinsi ya kunitimizia (sexually na hata mahitaji mengine but kikubwa ni kunirespect kama mimi ninavyomrespect
2. Awe ananionyesha kuwa ananipenda- kwa vitendo si maneno kwani maneno hata kasuku huzungumza!
Kweli tunaishi tukitembea kwenye barabara mfano wa sine and cosine graphs..kuna ups and downs na mambo yote huja na kupita. Kweli ndugu yangu kupenda ni kuonyesha kwa vitendo na sio maneno mengi yasiyo na action yoyote.
 
Mapenzi ya dhati
1. kuwa mkweli na muwazi kwa mwezako katika kila jambo kwa mfano katika
mapenzi,
matumizi ya pesa, mahusiano na ndugu na wazazi.
2. kumheshimu mweza wako katika hali zote za maisha.
3. kumwamini mweza wako katika mapenzi, matumizi ya pesa.
4. Kumsaidia mweza wako katika hali yoyote ya mapungufu mfano katika mapenzi,
kipato na majukumu katika familia
 
Sorry mie ninaanza vile ambavyo ninajua kwangu vinanidhihirishia ninapendwa

1. Kunijali (kujaliana) yaani ajue nini nijnahitaji na jinsi ya kunitimizia (sexually na hata mahitaji mengine but kikubwa ni kunirespect kama mimi ninavyomrespect
2. Awe ananionyesha kuwa ananipenda- kwa vitendo si maneno kwani maneno hata kasuku huzungumza!

So funny, vipi kama akifanya kwa vitendo akakuletea kasuku atakayekuwa anakutamkia neno "nakupenda" kila uamkapo utaridhika kuwa anakupenda?

Lol!
 
1. Kunifanyia wema bila kusubiri nimlipe wema wake
2. Ajue kwamba mapenzi kwa maana ya ku'do' ni sehemu muhimu sana ktk ndoa
3.ajue kuchukuliana udhaifu,siyo kuuanika udhaifu wa mwenzake ili aonekane superior
4.aniamini kuwa nina mawazo constructive kabla ya kucritisize i.e. kuheshimiana kwa mapana yake
5.tukitoka ajisikie raha kwa muonekano kuwa na mimi,siyo anakuja nyumanyuma kama mwizi wa mapenzi anaelekea guest house ya uswahilini.
6.ushirikiano ktk tendo la ndoa (strictly kwa wanandoa),kama anahisi kinamboa basi ushauri wa marekebisho uwe kabla ya kwenda uwanjani...
7.ajue kuwa smart,siyo kwa kuwa anaye basi mtu anajiachia mpaka baaasi, ukweli ni kwamba mme/mke akipendeza barabarani hata mndani wake anamtamani kwa upya kabisa...
8.kutofanya vitu ambavyo mwingine hapendi,e.g.kuna watu wana hobbie ya kugombeza watoto/msaidizi wa nyumba/ndugu n.k akifoka sana mbele yangu uzuri wake unadeteriorate sana..ajiheshimu na aheshimu wanaomzunguka
9.asipende nimpe rushwa ndo anipende e.g. mtoko,zawadi n.k
10.aheshimu sana kazi yake na yangu....wivu ukizidi sana unaharibu mahusiano...
 
So funny, vipi kama akifanya kwa vitendo akakuletea kasuku atakayekuwa anakutamkia neno "nakupenda" kila uamkapo utaridhika kuwa anakupenda?

Lol!

LOL Ndugu... maneno ya kasuku na matendo yake au tendo ni kuniletea kasuku?

Hapana anipende kwa vitendo hata asipotamka nakupenda but vitendo vikaongea will appreciate sana tu.
 
1. Kunifanyia wema bila kusubiri nimlipe wema wake
2. Ajue kwamba mapenzi kwa maana ya ku'do' ni sehemu muhimu sana ktk ndoa
3.ajue kuchukuliana udhaifu,siyo kuuanika udhaifu wa mwenzake ili aonekane superior
4.aniamini kuwa nina mawazo constructive kabla ya kucritisize i.e. kuheshimiana kwa mapana yake
5.tukitoka ajisikie raha kwa muonekano kuwa na mimi,siyo anakuja nyumanyuma kama mwizi wa mapenzi anaelekea guest house ya uswahilini.
6.ushirikiano ktk tendo la ndoa (strictly kwa wanandoa),kama anahisi kinamboa basi ushauri wa marekebisho uwe kabla ya kwenda uwanjani...
7.ajue kuwa smart,siyo kwa kuwa anaye basi mtu anajiachia mpaka baaasi, ukweli ni kwamba mme/mke akipendeza barabarani hata mndani wake anamtamani kwa upya kabisa...
8.kutofanya vitu ambavyo mwingine hapendi,e.g.kuna watu wana hobbie ya kugombeza watoto/msaidizi wa nyumba/ndugu n.k akifoka sana mbele yangu uzuri wake unadeteriorate sana..ajiheshimu na aheshimu wanaomzunguka
9.asipende nimpe rushwa ndo anipende e.g. mtoko,zawadi n.k
10.aheshimu sana kazi yake na yangu....wivu ukizidi sana unaharibu mahusiano...

.....Duh yaani unekomelea msumari wa mwisho ndugu yangu. Kweli kabisa very true

kwenye red nimecheka hadi basi kweli siku yangu nimeianza vizuri leo.

No. 7 nimeipenda.
 
napenda anickilize/nijali/dhamini! asichukulie mapungufu yangu kama big deal bali yeye ndio wakuniongoza kwa namna moja au nyingine, mukitanda twende sawa na tuwe tunaelewana pale mwenzako anapokukosea.....na awe mwepec kusamehe sio ile mmeshaongelea jambo baada ya dk anasema ndio mana ulifanya hivi na vile(gubu)
 
napenda anickilize/nijali/dhamini! asichukulie mapungufu yangu kama big deal bali yeye ndio wakuniongoza kwa namna moja au nyingine, mukitanda twende sawa na tuwe tunaelewana pale mwenzako anapokukosea.....na awe mwepec kusamehe sio ile mmeshaongelea jambo baada ya dk anasema ndio mana ulifanya hivi na vile(gubu)

Tell me about it..........
 
Sorry mie ninaanza vile ambavyo ninajua kwangu vinanidhihirishia ninapendwa

1. Kunijali (kujaliana) yaani ajue nini nijnahitaji na jinsi ya kunitimizia (sexually na hata mahitaji mengine but kikubwa ni kunirespect kama mimi ninavyomrespect
2. Awe ananionyesha kuwa ananipenda- kwa vitendo si maneno kwani maneno hata kasuku huzungumza!


Na mi ivo ivo MJ1:p
 
1. Kunifanyia wema bila kusubiri nimlipe wema wake
2. Ajue kwamba mapenzi kwa maana ya ku'do' ni sehemu muhimu sana ktk ndoa
3.ajue kuchukuliana udhaifu,siyo kuuanika udhaifu wa mwenzake ili aonekane superior
4.aniamini kuwa nina mawazo constructive kabla ya kucritisize i.e. kuheshimiana kwa mapana yake
5.tukitoka ajisikie raha kwa muonekano kuwa na mimi,siyo anakuja nyumanyuma kama mwizi wa mapenzi anaelekea guest house ya uswahilini.
6.ushirikiano ktk tendo la ndoa (strictly kwa wanandoa),kama anahisi kinamboa basi ushauri wa marekebisho uwe kabla ya kwenda uwanjani...
7.ajue kuwa smart,siyo kwa kuwa anaye basi mtu anajiachia mpaka baaasi, ukweli ni kwamba mme/mke akipendeza barabarani hata mndani wake anamtamani kwa upya kabisa...
8.kutofanya vitu ambavyo mwingine hapendi,e.g.kuna watu wana hobbie ya kugombeza watoto/msaidizi wa nyumba/ndugu n.k akifoka sana mbele yangu uzuri wake unadeteriorate sana..ajiheshimu na aheshimu wanaomzunguka
9.asipende nimpe rushwa ndo anipende e.g. mtoko,zawadi n.k
10.aheshimu sana kazi yake na yangu....wivu ukizidi sana unaharibu mahusiano...


LOL hiyo amri ya pili nadhani ndo kubwa kuliko zote......
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom