MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,562
Wandugu wazima? Ninawasalimu kwa hisani ya JF inayotupa uwanja wa kujiexpress mawazo na mafeelings yetu.
Sote tunaelewa kuwa mapenzi yanatofautiana na pia hayana formula ila tu ninaomba kujua ile general content ya mapenzi na mambo ya kumtendea mpenzi wako.
Wanaume, kina kaka: Ni vitu gani akivifanya wifi (mkeo/girlfriend au demu wako) vinakudhihirishia kuwa anakupenda kwa dhati
Wanawake/ mawifi/ Shostito: ni vitu gani akikufanyia shem au kaka yangu vinakufanya umuone yeye ndo kila kitu hata aje fataki wa chuma yaani hutamtizama mara mbili.
Nimeuliza hivi kwa sababu nahisi nitajifunza kutoka kwenu ndugu zangu mengi juu ya mapenzi.
Sote tunaelewa kuwa mapenzi yanatofautiana na pia hayana formula ila tu ninaomba kujua ile general content ya mapenzi na mambo ya kumtendea mpenzi wako.
Wanaume, kina kaka: Ni vitu gani akivifanya wifi (mkeo/girlfriend au demu wako) vinakudhihirishia kuwa anakupenda kwa dhati
Wanawake/ mawifi/ Shostito: ni vitu gani akikufanyia shem au kaka yangu vinakufanya umuone yeye ndo kila kitu hata aje fataki wa chuma yaani hutamtizama mara mbili.
Nimeuliza hivi kwa sababu nahisi nitajifunza kutoka kwenu ndugu zangu mengi juu ya mapenzi.