mr pipa
JF-Expert Member
- Jul 26, 2021
- 2,329
- 4,852
Je, ni ni pale unapo mnunulia mpenzi wako zawadi na kumtimizia mahitaji yake kwa wakati? Au ni pale anapopatwa na matatizo na mpenzi wako akawa nawe bega kwa bega
Nauliza hili nikiwa na mifano hiyi miwili kuna jamaa zangu walikuwa wanawapenzi. Jamaa yangu wa kwanza yeye alipataga hela za madini akamfungulia mkewe duka la nguo mwanzoni walikuwa wanaishi saafi kabisa ila baadae kidogo jamaa akabadili gia angani
Akaanza kuwa mlevi na kuanza kumnyanyasa mke wake akapata hawala akawa amemjengea nyumba na kuhama kwa mkewe kuhamia huko huko end the day jamaa akawa amefilisika mchepuko ukamtimua
Kumbuka nyumba aliyoishi na mkewe na familia yake. Aliikopea bank na nyumba ikauzwa na benki sababu alishindwa kurejesha deni
Basi jamaa akawa kama kadata ikabidi amtoloke mkewe akabahatishe tena huko machimbo huku nyuma mkewe alimuacha kwenye wakati mgumu sana
Mwaka ukapita jamaa hapigi simu kwa mkewe wala nini ikabidi mke wake atafute kazi za ndani kumbuka alizaanae watoto wa tatu
Mwisho wa siku Mungu si Maxmelo mke akawa amekaa sawa kiuchumi na kufungua biashara na kujenga kabisa hiyo ni baada ya miaka kupita
Kwa upande wa jamaa Khali ilikuwa ngumu zaidi mwisho wa siku ikabidi amcheki mkewe
Mke wake kusikia mmewe alifurahi sana na kumtumia nauli na saizi wanaishi tena wote
Jamaa wa pili yeye mke wake kila anachotaka mkewe anamtimizia tena kwa wakati na mke anamkubali sana jamaa na wanaishi kwa furaha
Sasa turudi kwenye swali la mada hiyi upendo wa dhati hupimwa wakati gani?
Nauliza hili nikiwa na mifano hiyi miwili kuna jamaa zangu walikuwa wanawapenzi. Jamaa yangu wa kwanza yeye alipataga hela za madini akamfungulia mkewe duka la nguo mwanzoni walikuwa wanaishi saafi kabisa ila baadae kidogo jamaa akabadili gia angani
Akaanza kuwa mlevi na kuanza kumnyanyasa mke wake akapata hawala akawa amemjengea nyumba na kuhama kwa mkewe kuhamia huko huko end the day jamaa akawa amefilisika mchepuko ukamtimua
Kumbuka nyumba aliyoishi na mkewe na familia yake. Aliikopea bank na nyumba ikauzwa na benki sababu alishindwa kurejesha deni
Basi jamaa akawa kama kadata ikabidi amtoloke mkewe akabahatishe tena huko machimbo huku nyuma mkewe alimuacha kwenye wakati mgumu sana
Mwaka ukapita jamaa hapigi simu kwa mkewe wala nini ikabidi mke wake atafute kazi za ndani kumbuka alizaanae watoto wa tatu
Mwisho wa siku Mungu si Maxmelo mke akawa amekaa sawa kiuchumi na kufungua biashara na kujenga kabisa hiyo ni baada ya miaka kupita
Kwa upande wa jamaa Khali ilikuwa ngumu zaidi mwisho wa siku ikabidi amcheki mkewe
Mke wake kusikia mmewe alifurahi sana na kumtumia nauli na saizi wanaishi tena wote
Jamaa wa pili yeye mke wake kila anachotaka mkewe anamtimizia tena kwa wakati na mke anamkubali sana jamaa na wanaishi kwa furaha
Sasa turudi kwenye swali la mada hiyi upendo wa dhati hupimwa wakati gani?