Tafuta Hela
JF-Expert Member
- Mar 15, 2022
- 1,544
- 2,999
Mkuu lia kwa sauti upoze machungu
Kweli kabisa...mwanamke wee mgegede tuu ufurahi ila tambua yoyote anaweza gegeda piaGame( akili) muhimu...
Halafu usitafute pesa kwa ajili ya wanawake— tafuta pesa kwa ajili yako binafsi.
Siku ukimuonyeshea Mwanamke unampenda sana siku hiyo hiyo anakudharau.
Hata kama wewe ni tajiri usipokua na Game ( saikoloji) utaliwa tuu
Love with distance bro
Be ready to lose her
Mwanaume ni polygamous by nature so unaanzaje kukomit kwa ki Mwanamke kimoja !
Jamaa mmoja bilionea wa madini
Ilikua kila akienda kukagua duara lake usiku anarudi Asubuhi!
So wife wake akampenda jamaa yangu,
Jamaa ( bilionea)akiondoka tuu Mida ya saa tano usiku Mke anaita Bodaboda wake hadi Lodge
Manzi anakuja anapigwa mashine Masaa matatu Tisa usiku anarudi home!
Jamaa anarudi alfajiri anamkuta Mke wake kasharudi amelala!
Jamaa yangu hakutaka kuendelea nae sababu ni mke wa Mtu na alikata mazoea baada ya kuanza kumuita mshikaji Mume wake na kutaka amtie mimba!
So Tumia akili (kama jina la Member mmoja humu) na siyo pesa na akili ni ‘Wewe kwanza’ Mwanamke second in your life kama wazee wetu wa zamani walivyofanya
Pesa kionjo tuu na Uwe nacho!