Hii ni sawa na kusoma halafu ukafail paper ukaamua kutosoma kisa aliyefaulu hakusomaWanangu mapenzi sio pesa. Leo nimenyang'anywa demu wangu na Jamaa mmoja hivi ambaye Hana kitu.
Mpaka nime-give up kutafuta pesa naona na Mimi nikae kinyonge tu. Labda nitapata mwanamke wa kweli.
Uko duniani kwa ajili ya mademu?Wanangu mapenzi sio pesa. Leo nimenyang'anywa demu wangu na Jamaa mmoja hivi ambaye Hana kitu.
Mpaka nime-give up kutafuta pesa naona na Mimi nikae kinyonge tu. Labda nitapata mwanamke wa kweli.
Inaonekana ulikuwa unampa pesa tu bila tumaneno twa uongo uongo, hawa viumbe bila tumaneno twa uongo uongo wanakuona zoba.Wanangu mapenzi sio pesa. Leo nimenyang'anywa demu wangu na Jamaa mmoja hivi ambaye Hana kitu.
Mpaka nime-give up kutafuta pesa naona na Mimi nikae kinyonge tu. Labda nitapata mwanamke wa kweli.
🤣🤣🤣🤣Siku ukimuelewa mwanamke jua unakaribia kufa