mapenzi siku ya kwanza.

mapenzi siku ya kwanza.

Siku hizi baadhi ya vijana wengi hawana subira kwa sababu: Mosi hawana upendo ila wana matamanio, pili ugumu wa maisha unawafanya baadhi ya dada zetu kujirahisi. Mnakutana leo na leo leo mnamalizana!

Kwa kifupi hakuna mapenzi ila tamaa tu hapo.
 
mkizungushwa maneno.....mkipewa haraka maneno!!!!!!!!
hivi mnatakaje??????????

umenena mkuu watu kama nyie mngekuepo wote dizaini kama yako ata richmond isingekuepo. wengine eti hadi tuchunguzane mara hoo hadi ndoa oh nataka niwajue wazaz na ndugu hizo ni bakulutu.
 
umenena mkuu watu kama nyie mngekuepo wote dizaini kama yako ata richmond isingekuepo. wengine eti hadi tuchunguzane mara hoo hadi ndoa oh nataka niwajue wazaz na ndugu hizo ni bakulutu.

Akikuambia anakuchunguza muulize mama wewe ni takukuru......
kama muda upo hata siku ya kwanza poa tu bana kwani kuna tofauti gani ukipewa leo au ukipewa mwakani?
kukompliketisha tu maisha........
 
Siku hizi baadhi ya vijana wengi hawana subira kwa sababu: Mosi hawana upendo ila wana matamanio, pili ugumu wa maisha unawafanya baadhi ya dada zetu kujirahisi. Mnakutana leo na leo leo mnamalizana!

Kwa kifupi hakuna mapenzi ila tamaa tu hapo.

ukipewa mwakani ndo ugumu wa maisha unapungua?
acha hizo wewe....
 
Hapa naona issue ni ratio ya watongozaji na watongozwaji, wewe ukuleta mizinguo watu wanasonga mbele kwani uko peke yako?
 
Usinikubali haraka haraka!kitu kama maharage ya mbeya!

Aaaah kaza kaza bana mtoto wa kike,vilaini sana sio vitamu saa nyingine!

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums

wenye itikadi za hivi wengi mnaishiaga kufanywa washika pembe....
dem anakusanifu tu i love u nyingi, outing za kutosha, mizinga ndo usiseme unasubiri weee mzigo anapewa mwingine
tena anajimegea tu bila hata jasho.
 
Akikuambia anakuchunguza muulize mama wewe ni takukuru......
kama muda upo hata siku ya kwanza poa tu bana kwani kuna tofauti gani ukipewa leo au ukipewa mwakani?
kukompliketisha tu maisha........

safi sana mkuu huu si mda wa kuandikiana barua tena na kuchora moyo kitu chaaap unaendelea na life kuangalia ustarabu mwingine.
 
safi sana mkuu huu si mda wa kuandikiana barua tena na kuchora moyo kitu chaaap unaendelea na life kuangalia ustarabu mwingine.

....mmmh inaonekana uwe ni wa kugegeda na kusepa, unyimwe tu wewe!!!!!!!
 
Ooh! Bado uko analojia mkuu hamia digiti
Sa hv mambo yamerahisishwa kila kona
 
yaani ji mtu akianza oooh nikafikirie ajue ndo simtafuti tena
 
....mmmh inaonekana uwe ni wa kugegeda na kusepa, unyimwe tu wewe!!!!!!!

aha ahaa hapana mkuu siyo kiivo bali mda amna kabisa wa kuanza mara hoo ntafikiria kitu on the spot
 
Interesting, appointment please!
Nina kitu muhimu sana kukuambia jamani!
Akikuambia anakuchunguza muulize mama wewe ni takukuru......
kama muda upo hata siku ya kwanza poa tu bana kwani kuna tofauti gani ukipewa leo au ukipewa mwakani?
kukompliketisha tu maisha........
 
aha ahaa hapana mkuu siyo kiivo bali mda amna kabisa wa kuanza mara hoo ntafikiria kitu on the spot

hayo mambo ya kufikiria yashapitwa na wakati......
ila sio unapewa unakimbia, otherwise umwambie ukweli kwamba akusuuzie tu kirungu uchape lapa
we ni mpita njia tu.
 
Back
Top Bottom