Mapenzi shikamoo!.

Mapenzi shikamoo!.

KENZY

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2015
Posts
35,748
Reaction score
86,382
Samaleko...

Ilibaki kidogo tu nidondoshe chozi lakini lilipotaka kudondoka nikakumbuka ule wimbo "wanaume tumeumbwa mateso!" halafu kabla haujaisha huo wimbo vizuri nikakumbuka pia wimbo wa Diamond kizaizai!, Hichi sio kizaizai tasa bali ni kizaizai kilichozaa!.

Japo nimeshakuwa sugu wa visa mikasa vya mapenzi lakini kwa hili naomba dunia isimame nishuke tu niende zangu Neptune huko hata kama hakuna liwalo!, Haiwezekani mtu anarudi kwakuchelewa tena usiku akiwa na lavu bite shingoni!, unamuuliza anakujibu ati "Amejing'ata mwenyewe!".
Hata kama mimi ni zwazwa au naakili mnemba kiasi gani ndo mtu anidanganye hivi...???!!

Kwa hili naunga mkono asilimia mia msemo wa "No reform no election!".
hata mapenzi yanahitaji mabadiriko huku tunapoelekea mtu atakuja na lavu bite la ng'ombe aseme ni mtu!.

Walimwengu hata kama sikufunzwa na mama yangu, kwa hili sio funzo ni jaribio la mauwaji!.
wala sina mengi yakunena ila nimeamini tu "kikulacho ki nguoni mwakon".
 
1747854705339.jpg
 
Samaleko...

Ilibaki kidogo tu nidondoshe chozi lakini lilipotaka kudondoka nikakumbuka ule wimbo "wanaume tumeumbwa mateso!" halafu kabla haujaisha huo wimbo vizuri nikakumbuka pia wimbo wa Diamond kizaizai!, Hichi sio kizaizai tasa bali ni kizaizai kilichozaa!.

Japo nimeshakuwa sugu wa visa mikasa vya mapenzi lakini kwa hili naomba dunia isimame nishuke tu niende zangu Neptune huko hata kama hakuna liwalo!, Haiwezekani mtu anarudi kwakuchelewa tena usiku akiwa na lavu bite shingoni!, unamuuliza anakujibu ati "Amejing'ata mwenyewe!".
Hata kama mimi ni zwazwa au naakili mnemba kiasi gani ndo mtu anidanganye hivi...???!!

Kwa hili naunga mkono asilimia mia msemo wa "No reform no election!".
hata mapenzi yanahitaji mabadiriko huku tunapoelekea mtu atakuja na lavu bite la ng'ombe aseme ni mtu!.

Walimwengu hata kama sikufunzwa na mama yangu, kwa hili sio funzo ni jaribio la mauwaji!.
wala sina mengi yakunena ila nimeamini tu "kikulacho ki nguoni mwakon".
Ni kweli nimejing'ata mwenyewe baby pls trust me.
"No reform no ERECTION"
 
Nilidhani hunitaki tena baada ya kujing'ata mwenyewe😃
Haha! malipo ni hapahapa duniani swala si kujing'ata tu usijali hata mimi mdomo ninao...😉
 
Popote utakapopenda baby wangu
Sawa nitaanza mashariki ukizidiwa mashambulizi naamishia magharibi!, halafu kabla haujashindwa vita nakusalenda narusha bomu ikulu kwanza!, halafu ndo tunono natufanya kuwa tununu, hapo unakuwa unarusha miguu tu kama kuku alikatwa kichwa....😂
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom