Mapenzi noma... Mapenzi ya uizi matamu. Mwisho wake nini???

Mapenzi noma... Mapenzi ya uizi matamu. Mwisho wake nini???

Joined
Dec 20, 2012
Posts
14
Reaction score
2
Kupenda mume wa mtu aliyekupenda mpaka mwisho kuna namna ya kuzuia? au tuache nature itimize mapenzi yake........... Jamani huyu mwanaume hataki tuachane...... Nampenda.
:israel::crazy:
 
Kupenda mume wa mtu aliyekupenda mpaka mwisho kuna namna ya kuzuia? au tuache nature itimize mapenzi yake........... Jamani huyu mwanaume hataki tuachane...... Nampenda.
:israel::crazy:
Kwanini wewe unataka muachane?je kaoa au wewe umeolewa?
 
Miserere Mei Deus tena unajidai kabisa 'nampenda' tena mume wa mtu
si unajua za mwizi ni 39!!!!!!!

Kupenda mume wa mtu aliyekupenda mpaka mwisho kuna namna ya kuzuia? au tuache nature itimize mapenzi yake........... Jamani huyu mwanaume hataki tuachane...... Nampenda.
:israel::crazy:
 
Last edited by a moderator:
Kupenda mume wa mtu aliyekupenda mpaka mwisho kuna namna ya kuzuia? au tuache nature itimize mapenzi yake........... Jamani huyu mwanaume hataki tuachane...... Nampenda.
:israel::crazy:

hahhaa wee endelea kuenjoy duahelele hilo wala usiwe na pressure....angalia lakini usije kojolewa mkojo na mke wake
 
we chonga mzinga tu,endelea kufanya uzinzi,IKIMBIE ZINAA, USIHOJIANE NAYO,mwisho wake mbaya dada na wala sio mbali.......
 
Nimeolewa na yeye kaoa.....
Ila mme wangu hatuivi kabisa na yeye mke wake tofauti kabisa

mnataka muive kwani nyie ni CHAKULA? kama vipi ongeza moto au tumia jiko la gesi mtaiva tu!
halafu nilisahau, mnaweza pia kwenda kukaa kwenye makalio ya rocket wakati inapaa kwenda anga za juu, ule moto nadhani utatosha kuwaivisha!
 
Achana na mume wa mtu wewe....

we unadhani hajui kuwa anachofanya si sahihi, hawa ndio wanaoangamiza nguvu kazi ya Taifa kwa kueneza magonjwa ambukizi kwa njia ya zinaa kama HIV, Herpatitis n.k
 
Back
Top Bottom