tindikalikali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 4,855
- 1,117
Ukiyatazama mapenzi kwa jicho la tatu utagundua kwamba ni utoto unaofanywa na watu wazima. Ebu wachunguze wanawake, wanapenda kuambiwa maneno mazuri, yenye kila aina ya ahadi ndani yake hata kama ni uongo. Wanaume nao wanapenda waambiwe maneno matamu yanayohusu mapenzi hata kama ni ya ulaghai na hayana ukweli, wao huamini tu kwasababu ni matamu" ....mwisho wa siku vilio.