K kabunda88 JF-Expert Member Nov 8, 2015 3,095 2,680 Sep 29, 2020 #21 Hapa kuna kimchepuko nakihonga niko radhi hata nikope pesa lakin kasilalamike daaa hizo pesa ningempa wife angeenda hata kununua nguo za watoto
Hapa kuna kimchepuko nakihonga niko radhi hata nikope pesa lakin kasilalamike daaa hizo pesa ningempa wife angeenda hata kununua nguo za watoto
Its Pancho JF-Expert Member Sep 21, 2018 14,175 22,576 Sep 29, 2020 Thread starter #22 kabunda88 said: Hapa kuna kimchepuko nakihonga niko radhi hata nikope pesa lakin kasilalamike daaa hizo pesa ningempa wife angeenda hata kununua nguo za watoto Click to expand... Na bado kanakwambia mbona hela ndogo? Umetuma na kutolea?
kabunda88 said: Hapa kuna kimchepuko nakihonga niko radhi hata nikope pesa lakin kasilalamike daaa hizo pesa ningempa wife angeenda hata kununua nguo za watoto Click to expand... Na bado kanakwambia mbona hela ndogo? Umetuma na kutolea?
hearly JF-Expert Member Jun 19, 2014 45,622 63,117 Sep 29, 2020 #23 Inategemea na jinsi utakavyo yachuchukulia
Tuttyfruity JF-Expert Member Dec 3, 2017 2,405 6,281 Sep 30, 2020 #24 Mapenzi ni ujinga kuna faller ananipigia simu kila siku saa 2 usiku kama taarifa ya habari🙄😂