Mapenzi ni hisia zinazopatikana katika mwili mzima inamaana kuanzia kucha mpka nywele na unaweza kumpenda usiemjua kwa kutumia hisia moyoni akilini mpaka mwili mzima,, unaweza pendwa na mume/mke wa mtu kwa sababu ya lugha yako kwake na ikazidi mtu wake kwasababu Pengine hutumia lugha zisizoenzi mahusiano yenu