Sipo
JF-Expert Member
- Jul 25, 2008
- 2,139
- 91
[/COLOR]
hivi kama mtu hana time na wewe unataka nini tena?wakati mwingine nadhani hayo maumivu tunajitakia wenyewe, na kuna njia nyngi za kutoswa, kama iliyonikutaga mie enzi hizo ile naikubali mpaka kesho na cjilaumu, bali nilijiuliza maswali bila kupata majibu, lakini ile dizaini unaona limtu halina muelekeo kabisa, hajali/hakuckilizi wala kukuelewa hapo unasubiri nini tena ucshike ustaarabu mwingine?
Kumbe hii HB ni janga la kila mtu eeh!!! Hadi dada yangu nawe yalishakukumba, mimi nilijua hizi HBs zinafanywa kwa baadhi ya watu tu
Accronmy
HB= Heartbreak