Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,947
- 4,445
- Thread starter
- #21
...huyo tunamwita 'mlafi'! si unajua mwenye tabia za ulafi akivimbiwa anakuwaje? mwenyewe hujiona kafwaudu kumbe -anahitaji kusaidiwa, hajiwezi!
Hehehe mkuu Mbu haya mapenzi nimeamini mtu hatosheki,
Mapenzi ndugu yangu Mbu hayana shibe mtu yupo radhi ageuke mrafi lakini lengo lake litimie yaani aiburudishe numbula.