Surya
JF-Expert Member
- Jun 7, 2015
- 9,760
- 15,563
Naweza kusema nitakataa kila aina ya udhaifu na uraibu lakini kwenye Mapenzi hapo naomba mniweke tu, sitajisikia vibaya.
Jitahidi uwe mjuzi na mkufunzi kwenye hili... Mapenzi yanapasua miamba
Ila hatari ni moja kwenye hii sector watu wanachezewa akili (mind game) hatari sana, na wengi niwadhaifu kwenye tendo kwahiyo siraha yao kubwa huwa nikuyakwepa mapenzi.
Ushujaa sio kuona tatizo ukalikwepa.
Binafsi Ukiniuliza katika Ujana wako umejifunza nini sana kujua kwa bidii, Nitakwambia Nimejifunza Kumjua Mungu sana tena kwa Maumivu.
Na kumjua Mungu kumechochea mimi kuyapenda Mapenzi zaidi,
Na Ulokole wangu woteee, nimegundua Mapenzi sio ya kuyakwepa.
Hadithi kadhaa za Mapenzi zinazonisisimua na kunifanya nizidi kupenda Ngono.
Ukoo wa Yesu (biblia)
1. Ibrahimu na mkewe Sarai,
hawa kama ni kubenjuana basi ilikua ni hatari, na father ibrahimu lazima alikua anapeleka moto ni balaa,
Walikumbana na changomoto ya kutokupata mtoto kwa miaka mingi.
Kipindi ibrahimu anamahusiano na Sara hakuwa na mke mwingine ila Sara alipokufa tunaona Ibrahimu aliongeza wake zaidi ya mmoja.
Sex is a food.
2. Yakobo yeye alikuwa na wake wawili, mtu na dada yake, msela alikua anagombaniwa usiku.
Wife akajilaze kama gogo kesho hakuna kurudi 😂😁
3. Yuda na mkwewe Tamari.
Tamari yeye alilala na baba mkwe wake, na yeye Tamari ni bibi yake na Yesu.
4. Funga kazi alikuwa Rahabu Kahaba, Tajiri unaelewa kahaba akiwa Tajiri inamaana anauza sana mbususu, Lakini na huyu Mungu alimchagua awe bibi yake na Yesu,
Kwani alichukuliwa na kujiunga na ukoo wa Waisraeli na Kuolewa na babu yake na yesu wa kabila la Yuda.
5. Tusimsahau Mfalme Daudi, yeye aliona pisi inaoga nzuri hatari very sex kuliko wake zake, akavuta ndani.
Na ajabu ndie akawa ***** na Suleiman Mfalme aliyefata.
Sasa kule kwenye vitabu vya ndugu zangu waislamu ni fire zaidi, mapenzi ni hadi Mbinguni.
Hawa watu sio tu walikua wanajua Mapenzi (ngono) ila pia walimjua Mungu sana Elimu ya kiimani iliendelea kuwa dhabiti katika familia,
Mungu anapokupa maisha Mazuri anakupa na Muda mzuri wa kupenzika na unao wapenda. 🫵🏾
Sasa kama mnavyojua Shetani hakuumba kitu ila uwa anatoa tu copy,
Utakuta kapandikiza vitu vyake vya giza Kwenye Sex. wakati mwingine sex inakuwa very demonic lakini kama ushetani unavyoweza kuchochewa na Mapenzi na kupeana tabia chafu za kishetani..
Pia Nguvu za Mungu za kweli pia zinaweza kuchochewa na kupeana wakati na Sex, very powerful.
Kwahiyo unagundua kwenye kutiana unabeba vingi sio kupata msisimko peke yake,
Sex is not just to give you a goosebumps experience, it can give you unwanted demon.
Hakikisha unajua Vision yako ya Maisha, na Ngono iwe ni kiburudisho na kichocheo cha kukufikisha pale unapotaka kwenda.
Tuache hira za Mapenzi jamani.
Mapenzi ni Afya
Hivi Tanzania kuna wahanga wa Soulties ??? Nataka nije nitoe shule kidogo watu wajua Nafsi ya Mtu Inawezaje kufungwa na Nafsi ya Mtu mwingine ??
Unakuta mtu kapenda hadi yupo tayari kufa kwaajiri ya mapenzi. 😁😂
Chezea Mapenzi wewe.
During sex
1. Kuna energy mnakuwa mnabadilishana.
inawezakuwa bad energy or Good energy, Mapenzi yawezakuwa spiritual sana.
Anakuambukiza uyeye na wewe unamuambukiza mwenzio uwewe, Je utaweza kumuambukiza vyako na kumgeuza tabia mpenzi wako ?
Siri ya kufika kileleni, unaweza fika na kuuza na nafsi hapo hapo. 😁😂
2. Ukiuza tendo la ngono, ukaibiwa na baadhi ya vitu ndani yako, usilalamike ulikubali mwenyewe kupewa kakitu ndio utoe uchi.
3. Too much happy or Pain hufungua nguvu za rohoni kupita, Wakati wa sex ni roho yako inaweza kutawala au kutawaliwa, au kutawala kwa pamoja
Je una nguvu kubwa ya ndani hadi nafsi yako kuweza kutawala mwili wako wakati wa sex,
Ukatawala na maamuzi yako pia ?
4. Usije kusex na mtu ukiwaza unamkomoa 😁😂
5. Kitanda Chako cha Mapenzi Kinasimamiwa na Malaika au Namashehetwani kadhaa 😂😂😂😁
Sex is spiritual 😂🫵🏾🫵🏾
Jitahidi uwe mjuzi na mkufunzi kwenye hili... Mapenzi yanapasua miamba
Ila hatari ni moja kwenye hii sector watu wanachezewa akili (mind game) hatari sana, na wengi niwadhaifu kwenye tendo kwahiyo siraha yao kubwa huwa nikuyakwepa mapenzi.
Ushujaa sio kuona tatizo ukalikwepa.
Binafsi Ukiniuliza katika Ujana wako umejifunza nini sana kujua kwa bidii, Nitakwambia Nimejifunza Kumjua Mungu sana tena kwa Maumivu.
Na kumjua Mungu kumechochea mimi kuyapenda Mapenzi zaidi,
Na Ulokole wangu woteee, nimegundua Mapenzi sio ya kuyakwepa.
Hadithi kadhaa za Mapenzi zinazonisisimua na kunifanya nizidi kupenda Ngono.
Ukoo wa Yesu (biblia)
1. Ibrahimu na mkewe Sarai,
hawa kama ni kubenjuana basi ilikua ni hatari, na father ibrahimu lazima alikua anapeleka moto ni balaa,
Walikumbana na changomoto ya kutokupata mtoto kwa miaka mingi.
Kipindi ibrahimu anamahusiano na Sara hakuwa na mke mwingine ila Sara alipokufa tunaona Ibrahimu aliongeza wake zaidi ya mmoja.
Sex is a food.
2. Yakobo yeye alikuwa na wake wawili, mtu na dada yake, msela alikua anagombaniwa usiku.
Wife akajilaze kama gogo kesho hakuna kurudi 😂😁
3. Yuda na mkwewe Tamari.
Tamari yeye alilala na baba mkwe wake, na yeye Tamari ni bibi yake na Yesu.
4. Funga kazi alikuwa Rahabu Kahaba, Tajiri unaelewa kahaba akiwa Tajiri inamaana anauza sana mbususu, Lakini na huyu Mungu alimchagua awe bibi yake na Yesu,
Kwani alichukuliwa na kujiunga na ukoo wa Waisraeli na Kuolewa na babu yake na yesu wa kabila la Yuda.
5. Tusimsahau Mfalme Daudi, yeye aliona pisi inaoga nzuri hatari very sex kuliko wake zake, akavuta ndani.
Na ajabu ndie akawa ***** na Suleiman Mfalme aliyefata.
Sasa kule kwenye vitabu vya ndugu zangu waislamu ni fire zaidi, mapenzi ni hadi Mbinguni.
Hawa watu sio tu walikua wanajua Mapenzi (ngono) ila pia walimjua Mungu sana Elimu ya kiimani iliendelea kuwa dhabiti katika familia,
Mungu anapokupa maisha Mazuri anakupa na Muda mzuri wa kupenzika na unao wapenda. 🫵🏾
Sasa kama mnavyojua Shetani hakuumba kitu ila uwa anatoa tu copy,
Utakuta kapandikiza vitu vyake vya giza Kwenye Sex. wakati mwingine sex inakuwa very demonic lakini kama ushetani unavyoweza kuchochewa na Mapenzi na kupeana tabia chafu za kishetani..
Pia Nguvu za Mungu za kweli pia zinaweza kuchochewa na kupeana wakati na Sex, very powerful.
Kwahiyo unagundua kwenye kutiana unabeba vingi sio kupata msisimko peke yake,
Sex is not just to give you a goosebumps experience, it can give you unwanted demon.
Hakikisha unajua Vision yako ya Maisha, na Ngono iwe ni kiburudisho na kichocheo cha kukufikisha pale unapotaka kwenda.
Tuache hira za Mapenzi jamani.
Mapenzi ni Afya
Hivi Tanzania kuna wahanga wa Soulties ??? Nataka nije nitoe shule kidogo watu wajua Nafsi ya Mtu Inawezaje kufungwa na Nafsi ya Mtu mwingine ??
Unakuta mtu kapenda hadi yupo tayari kufa kwaajiri ya mapenzi. 😁😂
Chezea Mapenzi wewe.
During sex
1. Kuna energy mnakuwa mnabadilishana.
inawezakuwa bad energy or Good energy, Mapenzi yawezakuwa spiritual sana.
Anakuambukiza uyeye na wewe unamuambukiza mwenzio uwewe, Je utaweza kumuambukiza vyako na kumgeuza tabia mpenzi wako ?
Siri ya kufika kileleni, unaweza fika na kuuza na nafsi hapo hapo. 😁😂
2. Ukiuza tendo la ngono, ukaibiwa na baadhi ya vitu ndani yako, usilalamike ulikubali mwenyewe kupewa kakitu ndio utoe uchi.
3. Too much happy or Pain hufungua nguvu za rohoni kupita, Wakati wa sex ni roho yako inaweza kutawala au kutawaliwa, au kutawala kwa pamoja
Je una nguvu kubwa ya ndani hadi nafsi yako kuweza kutawala mwili wako wakati wa sex,
Ukatawala na maamuzi yako pia ?
4. Usije kusex na mtu ukiwaza unamkomoa 😁😂
5. Kitanda Chako cha Mapenzi Kinasimamiwa na Malaika au Namashehetwani kadhaa 😂😂😂😁
Sex is spiritual 😂🫵🏾🫵🏾