Mapenzi ni moto (I never undermine sex )

Mapenzi ni moto (I never undermine sex )

Yaan hio hakuna mwanaume anapindua, kutamani kunaanzia machoni macho hutazama na kuona


Mkuu falsafa yako ni Kweli lakini kwa mwenye ufahamu anajuzuia na kujizuia ndio unakuwa mfumo wa maisha yake

Ni kweli ni ngumu sana kushinda hali ya kutamani hasa kwa dunia ya sasa lakini kwa mwenye ufahamu kuhusu nadharia ya hilo tendo hakika anakuwa na strength ya kujizuia na kushinda
 
Vitabu vya deni mbona inaonyesha mostly watu hao walikua na wanawake wengi na haikua dhambi kama tunavyo aminishwa sasa lakini sasa huruhusiwi kuwa na wanawake zaidi ya mmoja inakua ni dhambi tena dhambi ya uzinzi ni dhambi mbaya tulivyoaaminishwa, lakini mfano mfalme Sulemani alikua na pisi za kutosha na Mungu bado alimbariki
Hakuna kosa bali tafsiri.
 
Yaan hio hakuna mwanaume anapindua, kutamani kunaanzia machoni macho hutazama na kuona
Kuwa na Power ya kuchagua ni Muhimu, Chagua kitu unataka sio kila Ke niwakulala nae.
 
Hizo ni mbinu za walimwengu tu, other things was created by man even sex, sasa unai-control vipi ndio hapo man created laws usizini na usitamani mke wa mwanaume mwenzio sasa utashindwaje kutamani wakati na wewe uboo unadinda?, ndio maana Mfalme Daudi alimromba yaan alizini na Mama yake na Sulemani Bath-Sheba na kumtia mimba akiwa mke wa Uria kisha akampeleka mumewe vitani akaagiza awekwe mstari wa mbele kabisa ili auwawe na yeye abakie na mke wa Uria, hapo ndipo ikaingia sheria nyingine ya Usiue

Kwa hio ni sheria zilizowekwa na wanadamu sio na Mungu. Nina mashaka hata na zile Amri 10 alizoshuka nazo Musa kule Mlimani.
Kila kitamu, kina uchungu wake behind
 
Back
Top Bottom