Mapenzi ni 2 way traffic, stop being bitter

Hawa wa miezi 7 huwa Wana cohabit. Full kunyanduana Monday to Sunday. Hawa wanaweza kupelekana madhabahuni maana wanajuana inside out. Ila balaa lake watajuana wenyewe huko ndani
 
Mkuu wanawake kwa kweli kwao kutoa ni Ngum Sana.
Kuna Msichana nilikuwa naye kwenye mahusiano bhana nilikuwa nampa mahitaji yake Kama kawaida sa Kuna siku akawa anahitaji nimtumie hela hapo hata wiki haijapita nishampa hela yaani nikamwambia subiri kidogo ndani ya siku kadhaa nitampa maana Kuna hela nyingine nilimuahidi kumpa ndani ya hizo siku Ila hakutaka ata kusikia...Ila Kuna hela alikuwa nayo nikamwambia chukua kwenye zile hela ulizokuwa nazon alafu nitakutmia hela yote pamoja na hiyo uliyotmia Sasa hivi Duuuuuh eti kasema "sigusi hii hela yangu".......Hapo nilichoka na nimemwambia nitakutmia zote Nikasema kweli wasichana ni hatareee tuishi nao KWA akili....
 
Oohh kwahiyo kwenye andiko la mwanaume kula kwa jasho ndipo mnapotaka tutumie contingency theory? Ila kwenye andiko la mwanaume kumtawala mwanamke ndiyo tuende kama biblia inavyotaka?
Wewe unauwezo wa kuhudumia familia?!
Kwanza hapo ulipo unaishi na nani tuanzie hapo maana usibishane na mimi kumbe umemaliza form 6 juzi upo kwa wazazi au unaishi kwa dada au kaka....
 
Nail on the right spot. Asipoelewa na hapo tutamuita Humphrey Polepole [emoji23][emoji23][emoji23]
Tuendeni taratibu tutaelewana tu! Haya mambo msilazimishe mnavyotaka ninyi mkitaka tuende kwenye biblia tutaenda mkitaka tuje kwenye utandawazi tutakuja!

Tatizo ni kwamba ninyi ndiyo hamueleweki mnaenda kwenye biblia pale ambapo mnaona kuna maslahi yenu binafsi ila mkiona biblia imewabana mnakimbilia kwenye utandawazi ati dunia imebadilika! Hiyo dunia iweje ibadilike kwenye majukumu ya mwanaume tu ila kwenye majukumu ya mwanamke ibaki pale pale yaani hamuwezi kuwa serious!
 
Sasa huyo uliyeanza naye at the lowest kwa nini hukuendelea naye hadi muoane? Yaani um-mistreat mwanamke kwa sababu tu umekutana naye ukiwa umeshafanikiwa? Mbona roho ya kimaskini sana; uchungu wako wa kukataliwa na kina Jack uje uutolee kwa mkeo asiye na hatia? Na huyo mkeo akija kwako yeye hana msaada wowote kwako; na kwa kuwa wewe umeshafanikiwa basi maisha yenu hamtopitia changamoto yoyote ambayo mkeo atakuwa nawe bega kwa bega na wewe? Yaani kufanikiwa kidogo tu unahisi dunia ipo kiganjani mwako na mwanamke ni takataka jamanii. Kama unaona mali zako ndiyo kila kitu kwako, usioe; enjoy mali zako na mama yako na dada zako
 
nipee nikupeee rahaaa tupateee
njoo upate mambo matam toka kwangu
 
Mi mbona nampikia mke wangu at occassions. Hilo sio kosa per se ila linakuwa tatizo endapo utanyoosha miguu full time ukitegemea niingie jikoni kukupikia eti kwa sababu umechangia ada ya watoto. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Daah mbona unakaza kichwa mtu wangu? Wapi nimeongelea habari za mwanamke kukaa kunyoosha miguu full time huku mumewe anapika?
 
Wewe sasa unakuja kuleta midahaloya "education is better than money" huo ni utoto. Kama hauna experience za mahusiano hebu subiri ukue kidogo uchezewe au ufanikiwe katika mahusiano ndipo uje hapa kujadili na wenzako..... But kwasasa naona unajaribu tu kufanya league, hakuna utakachojifunza kwa hiyo style.
 
Hao wanaume waache njoo kwangu haraka, mie sichepukagi napoona kuna upendo wa kweli
Mmhh si ndiyo hadi muuone huo upendo wa kweli sasa? Wanaume wa kiafrika upendo wa kweli kwenu ni hadi mwanamke akubali umpelekeshe kama punda kwa kisingizio cha mwanaume ndiye kiongozi!
 
Nsamehe mpenzi ni hasira..... Ndio muwe mnawachana live mkiona wenzenu wanawazingua wanaume zao kwa sababu za kipuuzi, matokeo ndio hivi tukizinguliwa tunakuja kuwa bitter men full of vengeance but its nothing personal. Ni hasira tu....
 
Mmhh si ndiyo hadi muuone huo upendo wa kweli sasa? Wanaume wa kiafrika upendo wa kweli kwenu ni hadi mwanamke akubali umpelekeshe kama punda kwa kisingizio cha mwanaume ndiye kiongozi!
Mbona umebase sana kwenye kupelekeshwa?! Hivi tafasiri ya kupelekeshwa ni ipi naomba unipe mifano hai ili nikuelewe....!
 
Wacha bwana! Sasa hapo mbona mnaenda kinyume na maandiko tena!

Adam alipewa kila kitu ndipo akapewa mwanamke! Sasa wanaume leo hii kutafuta kila kitu ndipo mkatafuta mwanamke mnaona kama huyo mwanamke atafaidi sana!
 
Ndiyo maana sipendi kutoka na mwanamke kilaza. Mtu anafanya kazi au ana hela zake kwa biashara azifanyazo lakini anataka mimi ndiyo nitumie hela zangu kumtunza yeye.....demu wa namna hii simlazii damu, namtema mara moja.
Unafeli bulaza. Mwanamke hata Kama analipwa bilioni moja, ukimpa big G ya Sh 50 tu atakupenda zaidi. Zawadi kwao haiwi attached na thamani bali moyo nyuma ya zawadi.
Twende taratibu kaka utajifunza vizuri
 
Oohh kwahiyo ikitokea mwanamke ndiye anaprovide kila kitu mwanaume hatakiwi kuwa na sauti kwake si ndiyo? Au unataka kusemaje labda?
 
Usitutoe kwenye reli, rudi kwenye mada! Why mwanamke ku act responsibly kwa mume wake hasa kumpiga jeki kiuchumi inakuwa kosa?
Shida wanakuja kwenye post na machungu ya majamaa zao walioamka nayo huko mitaani. Tayari washaandaa majibu utadhani mtoa mada ndo aliyewaudhi [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Oohh basi na mwanamke anatakiwa aachwe siku akifurahishwa ndiyo atoe hela kwa mwanaume wake! Na siyo eti alazimishwe!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…