hekimatele
JF-Expert Member
- May 31, 2011
- 9,889
- 2,805
Hawa wa miezi 7 huwa Wana cohabit. Full kunyanduana Monday to Sunday. Hawa wanaweza kupelekana madhabahuni maana wanajuana inside out. Ila balaa lake watajuana wenyewe huko ndaniWatu wanataka miezi 7 tu mpelekane madhabahuni [emoji23][emoji23][emoji23] wanaita uchumba sugu mkika for more than a year. Trust me huwezi mjua mwanamke kama hukai nae under one roof for more than 6 months. Na asijue una mpango wa kumuoa pia ili aishi on her true colors.
HahaaaMmmmmmhmn, once a gain.... Wewe ni ME au KE?!
@mother confessor Nakutaka....Hebu nisaidie jamaniii khaaa[emoji31][emoji30]
Wewe unauwezo wa kuhudumia familia?!Oohh kwahiyo kwenye andiko la mwanaume kula kwa jasho ndipo mnapotaka tutumie contingency theory? Ila kwenye andiko la mwanaume kumtawala mwanamke ndiyo tuende kama biblia inavyotaka?
Tuendeni taratibu tutaelewana tu! Haya mambo msilazimishe mnavyotaka ninyi mkitaka tuende kwenye biblia tutaenda mkitaka tuje kwenye utandawazi tutakuja!Nail on the right spot. Asipoelewa na hapo tutamuita Humphrey Polepole [emoji23][emoji23][emoji23]
Yes i do..... And am concerned pia..... Haya nambie la sihivyo naanza na wewe hii wiki ntakuandama hadi uje inbox kuyajenga kiuungwana.... Haya nambie!Do you care?
Sasa huyo uliyeanza naye at the lowest kwa nini hukuendelea naye hadi muoane? Yaani um-mistreat mwanamke kwa sababu tu umekutana naye ukiwa umeshafanikiwa? Mbona roho ya kimaskini sana; uchungu wako wa kukataliwa na kina Jack uje uutolee kwa mkeo asiye na hatia? Na huyo mkeo akija kwako yeye hana msaada wowote kwako; na kwa kuwa wewe umeshafanikiwa basi maisha yenu hamtopitia changamoto yoyote ambayo mkeo atakuwa nawe bega kwa bega na wewe? Yaani kufanikiwa kidogo tu unahisi dunia ipo kiganjani mwako na mwanamke ni takataka jamanii. Kama unaona mali zako ndiyo kila kitu kwako, usioe; enjoy mali zako na mama yako na dada zakoKuwatawala inakuja kutokana na mazingira mnayotengeza na wanaume.
Wewe umekuja kwenye maisha yangu umenikuta na mali zangu nimetafuta mwenyewe baada ya kuzinguliwa na akina Jack kwa maika nenda rudi hadi nikakata tamaa ya mapenzi ya kweli.
Kisha nimekutana na wewe nikakuweka ndani, halafu unataka nikuchukulie kama mtu kweli, wewe kwangu ni kitu, ni kama TV, Home theater, Gari na vinginevyo so utaishi kwa amri na maelekezo yangu vile nataka.... Sasa ubishane na maelekezo yangu kwa kuwa wewe ni nani?!
Mwanamke ambaye nitashauriana nae na nitaongea nae kama mwanadamu mwenzangu ni bi mkubwa wangu, dada yangu, na mwanamke ambaye alinikuta at my lowest akawa na mimi all the way up huyo kwangu ni malkia lazima apewe heshima yake, na akija mwanamke akamkosea adabu huyo ntamrarua, hata mama na dada zangu watapigwa biti matata wasimletee mizengwe huyo malkia
Ha ha ha [emoji846][emoji1787][emoji1787][emoji6][emoji1787]Kwa hii generation ukijitahidi kudate for more than 1 year na mmoja ujue umevumilia mengi sana, 2 years unaeza ukaota kipara kwa hiyo mikiki mikiki.
Daah mbona unakaza kichwa mtu wangu? Wapi nimeongelea habari za mwanamke kukaa kunyoosha miguu full time huku mumewe anapika?Mi mbona nampikia mke wangu at occassions. Hilo sio kosa per se ila linakuwa tatizo endapo utanyoosha miguu full time ukitegemea niingie jikoni kukupikia eti kwa sababu umechangia ada ya watoto. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wewe sasa unakuja kuleta midahaloya "education is better than money" huo ni utoto. Kama hauna experience za mahusiano hebu subiri ukue kidogo uchezewe au ufanikiwe katika mahusiano ndipo uje hapa kujadili na wenzako..... But kwasasa naona unajaribu tu kufanya league, hakuna utakachojifunza kwa hiyo style.Tuendeni taratibu tutaelewana tu! Haya mambo msilazimishe mnavyotaka ninyi mkitaka tuende kwenye biblia tutaenda mkitaka tuje kwenye utandawazi tutakuja!
Tatizo ni kwamba ninyi ndiyo hamueleweki mnaenda kwenye biblia pale ambapo mnaona kuna maslahi yenu binafsi ila mkiona biblia imewabana mnakimbilia kwenye utandawazi ati dunia imebadilika! Hiyo dunia iweje ibadilike kwenye majukumu ya mwanaume tu ila kwenye majukumu ya mwanamke ibaki pale pale yaani hamuwezi kuwa serious!
Mmhh si ndiyo hadi muuone huo upendo wa kweli sasa? Wanaume wa kiafrika upendo wa kweli kwenu ni hadi mwanamke akubali umpelekeshe kama punda kwa kisingizio cha mwanaume ndiye kiongozi!Hao wanaume waache njoo kwangu haraka, mie sichepukagi napoona kuna upendo wa kweli
Nsamehe mpenzi ni hasira..... Ndio muwe mnawachana live mkiona wenzenu wanawazingua wanaume zao kwa sababu za kipuuzi, matokeo ndio hivi tukizinguliwa tunakuja kuwa bitter men full of vengeance but its nothing personal. Ni hasira tu....Sasa huyo uliyeanza naye at the lowest kwa nini hukuendelea naye hadi muoane? Yaani um-mistreat mwanamke kwa sababu tu umekutana naye ukiwa umeshafanikiwa? Mbona roho ya kimaskini sana; uchungu wako wa kukataliwa na kina Jack uje uutolee kwa mkeo asiye na hatia? Na huyo mkeo akija kwako yeye hana msaada wowote kwako; na kwa kuwa wewe umeshafanikiwa basi maisha yenu hamtopitia changamoto yoyote ambayo mkeo atakuwa nawe bega kwa bega na wewe? Yaani kufanikiwa kidogo tu unahisi dunia ipo kiganjani mwako na mwanamke ni takataka jamanii. Kama unaona mali zako ndiyo kila kitu kwako, usioe; enjoy mali zako na mama yako na dada zako
Mbona umebase sana kwenye kupelekeshwa?! Hivi tafasiri ya kupelekeshwa ni ipi naomba unipe mifano hai ili nikuelewe....!Mmhh si ndiyo hadi muuone huo upendo wa kweli sasa? Wanaume wa kiafrika upendo wa kweli kwenu ni hadi mwanamke akubali umpelekeshe kama punda kwa kisingizio cha mwanaume ndiye kiongozi!
Wacha bwana! Sasa hapo mbona mnaenda kinyume na maandiko tena!Kuwatawala inakuja kutokana na mazingira mnayotengeza na wanaume.
Wewe umekuja kwenye maisha yangu umenikuta na mali zangu nimetafuta mwenyewe baada ya kuzinguliwa na akina Jack kwa maika nenda rudi hadi nikakata tamaa ya mapenzi ya kweli.
Kisha nimekutana na wewe nikakuweka ndani, halafu unataka nikuchukulie kama mtu kweli, wewe kwangu ni kitu, ni kama TV, Home theater, Gari na vinginevyo so utaishi kwa amri na maelekezo yangu vile nataka.... Sasa ubishane na maelekezo yangu kwa kuwa wewe ni nani?!
Mwanamke ambaye nitashauriana nae na nitaongea nae kama mwanadamu mwenzangu ni bi mkubwa wangu, dada yangu, na mwanamke ambaye alinikuta at my lowest akawa na mimi all the way up huyo kwangu ni malkia lazima apewe heshima yake, na akija mwanamke akamkosea adabu huyo ntamrarua, hata mama na dada zangu watapigwa biti matata wasimletee mizengwe huyo malkia
Unafeli bulaza. Mwanamke hata Kama analipwa bilioni moja, ukimpa big G ya Sh 50 tu atakupenda zaidi. Zawadi kwao haiwi attached na thamani bali moyo nyuma ya zawadi.Ndiyo maana sipendi kutoka na mwanamke kilaza. Mtu anafanya kazi au ana hela zake kwa biashara azifanyazo lakini anataka mimi ndiyo nitumie hela zangu kumtunza yeye.....demu wa namna hii simlazii damu, namtema mara moja.
Oohh kwahiyo ikitokea mwanamke ndiye anaprovide kila kitu mwanaume hatakiwi kuwa na sauti kwake si ndiyo? Au unataka kusemaje labda?Mwanaume kua provider hyo Ni normal haikwepeki .
Ila mwanamke anae kua receiver totally 100% yeye hamna kitu anaweza saidia hahaa huyu mwanamke najua utanyanyasika mpka ukome ...kwa sababu you have nothing to do with me..! Na ndoa au mahusiano ya hvi hua nje kwa watu mtaonekana mda furaha na upendo ila ndani nyuma ya pazia kunawaka Moto balaaa..! Na mbaya Zaid uangukie kwa Mwanaume mla pombe hahaa utajua hujui
Nita provide kila kitu Ni sawa lakin ujue hutakua na Sauti kwangu hata kidogo
Huu ndo ukweli
Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app
Shida wanakuja kwenye post na machungu ya majamaa zao walioamka nayo huko mitaani. Tayari washaandaa majibu utadhani mtoa mada ndo aliyewaudhi [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Usitutoe kwenye reli, rudi kwenye mada! Why mwanamke ku act responsibly kwa mume wake hasa kumpiga jeki kiuchumi inakuwa kosa?
Oohh basi na mwanamke anatakiwa aachwe siku akifurahishwa ndiyo atoe hela kwa mwanaume wake! Na siyo eti alazimishwe!Kupika utapikiwa occassionally, siku umenifurahisha naamua leo nakupikia mke wangu. Thats it!
Sasa ile ya kunigeuza house boy wako unipikishe kila siku wakati mie ni mume tena hapo pagumu.
Wewe mumeo anatakiwa awe makini sana maana akilegea kidogo tu unamkunisha nazi walahi[emoji23]