ISSA SHARAFI
JF-Expert Member
- Apr 25, 2012
- 407
- 75
Poleni sana kwa wale wote walio kwenye mfungo wa Ramadhan Mungu atamsaidia na kumrehemu pia, Leo nathubuti kuandika thread hii baada ya kufanya upembuzi yakinifu na kugundua kuwa maisha ya sasa yametawaliwa na mapenzi ndio tumefanya kuwa starehe kubwa kwetu na hii inapelekea hata watoto wetu kukimbilia burudani hii ambayo pasina kujua faida na hasara ya starehe hii. Lakini nahisi kila mtu atakubaliana nami kwa hili au kuna yeyote ambaye anafikiri tofauti na mimi juu ya swala hili la mapenzi kuwa ndio starehe namba moja kwa sasa?
Mapenzi yana run Dunia.....
Mapenzi yana run Dunia.....