Mapenzi na mahusiano ya Vyuoni

Duh!! Nilikuwa nae ila tuliachana baada ya kumpa mimba afu nilihudumia tulipo maliza chuo akanikataa akakatalia na mtoto na nilienda kwao akasema hanijuiπŸ˜₯πŸ˜₯
Nashukuru mungu niliacha yakapita..sikuizi naona kamekuwa keusii afu kafupii kanakitambi wajuba wanajipigia tu ukiwa mbali unaweza Sena kafurushiπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Kalijiunga na chama flani na kamepiwa chini kwenye kura za maoni....
Huwa najiuliza hivi mm ndo nilkuwa nakosa usingiz kisa huyu nabaki kucheka tu🀣🀣🀣
 
Chuo ndo nilikopata mke mwema,nadumu naye vizuri kabisa miaka 6 tangia tufunge ndoa ni miaka 11 tangia tuanze mahusiano
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…