kelphin
JF-Expert Member
- Dec 24, 2019
- 10,415
- 17,127
Yaan ndio vibomu vyakeweee jamaaa mbna unahonga sana apoo umenizidi
Yaan ndio vibomu vyakeweee jamaaa mbna unahonga sana apoo umenizidi
Dah nawaonea huruma sana hawa mabinti ninao watatu (sijawai kuoa Mimi japo nimepanga nje). Wawili wako first year tena wako serious japo hawajuani lakini kila mmoja namuona yuko deep. Mwingine yuko second year huyu ndio kachanganyikiwa kabisaa. Cha kusikitisha Mimi ndio namaliza Chuo nimeuza kila kitu nabeba virago vyangu narudi kwetu hata graduation sirudi, maana kila mmoja ukisikia story yake ameipania sana graduation yangu kuliko maelezo....sitaki kugonganisha magari wakati nimekua smart mda wote ......
Akaona mi popooma

Bia what?...Angekufungulia biashara Labda![]()

Labda azaliwe Mara ya pili...hamna kituuuj...likaka nalizidi kila kitu linajua kuvaa nguo za vitambaa na tai za pundamilia tu
.. boom langu

Mimi mmoja wao. Zangu zilikuwa ni kumalizana tu na mademu wa saveisidhani kama kuna aliemaliza chuo bila kujiingiza kwenye mahusiano.
Bia what?...Labda azaliwe Mara ya pili...hamna kituuuj...likaka nalizidi kila kitu linajua kuvaa nguo za vitambaa na tai za pundamilia tu
.. boom langu
![]()





sasa alitaka akutunzie boom lako wee nae lol,Malipo ni hapa hapa dunianNilipokuwa chuo mwaka wa kwanza nilikuwa bado nina mapenzi mazito na binti nilomuacha kitaa enzi hizo....kuingia mwaka wa pili ndo nikaanza kuoa oa hapo chuoni....karibia kila semester nilikuwa naishi na demu mpya gheto kwangu....mabinti wa Diploma na certificate wanapenda sana mteremko chuo wakijua uko unasoma Bachelor.... Tulikuwa tunabadilishana sana mademu na masela yaaani...mpaka nawaza binti yangu itakuwaje akienda chuo dah
Mis you tooSalamaaah dea nmekumic mno![]()
Nipo mieMis you too
Imekua kitambo

Mimi hapa sikuwahi kuwa na mahusiano chuonisidhani kama kuna aliemaliza chuo bila kujiingiza kwenye mahusiano.
Ndo mana nikakukuta na bikra..Mwanzo nilijua ya ndimu..Kumbe Og..Mimi hapa sikuwahi kuwa na mahusiano chuoni
Ndo mana nikakukuta na bikra..Mwanzo nilijua ya ndimu..Kumbe Og..

mwanaume mzembe wewe unashindwaje kutofautisha og na fakemkuu uliwezaje?Mimi hapa sikuwahi kuwa na mahusiano chuoni
Teh teh..Kwanza ndo mara ya kwanza naiona..Nilikuwa sijui hata inafananaje..mwanaume mzembe wewe unashindwaje kutofautisha og na fake
Mimi nawashangaa ninyi, mliwezaje kukimbizana na koziweki pamoja na mapenzi? Hivi muziki ule unapata wapi hata muda wa kuwa na nye.ge?mkuu uliwezaje?
Teh teh..Kwanza ndo mara ya kwanza naiona..Nilikuwa sijui hata inafananaje..


I know ..yule mkeo wa kwanza (sitaki kumtaja) najua hukumkuta nayo