Mapenzi miaka ya 90 (Love in 90s)

omujubi

JF-Expert Member
Dec 6, 2011
4,325
2,498
mapenzi.jpg
MLIWEZAJE KUKAA PAMOJA KWA MIAKA 65???
"Tunatokea katika kipindi ambapo kama kitu kikivunjika tunakiunga, na sio kukitupa."


Imekaaje hii wakuu kilinganisha ni hiki kizazi cha ‘dot com'!?

Nawasilisha
 
Maadili yamemomonyoka sana siku hizi. Kizazi cha sasa uvumilivu ktk ndoa ni mdogo sana.
 
Kaunga duh dongo hilo
Ina maana wanaume siku hizi wameisha wamabaki wa kiume tuu
Ila wapo wanaume ambao wanajua nini maana ya ndoa na kukaa pamoja
 
Hiki ni kile kipindi amabapo msemo huu ulikuwa kweli "Mpaka kifo kitakapo tutenganisha"
 
Kaunga duh dongo hilo
Ina maana wanaume siku hizi wameisha wamabaki wa kiume tuu
Ila wapo wanaume ambao wanajua nini maana ya ndoa na kukaa pamoja

I know, lakini wengi ni usanii tu. lakini na wadada pia, yaani ni full kutegeana coz hakuna anayemuamini mwenzake. Ndoa nyingi ni za kukaa mguu mmoja nje mwingine ndani. Hakuna anayekubali kuwa fool!
 
Ni kipindi ambacho wanaume walikuwa wanaume si wa kiume!
lol, unanikumbusha wimbo wa Babyface, unaitwa simple days ...when men were men and friends were friends!
It becomes hard for me to believe that those days are no more!!

 
Mkuu:-
2012 - 1990 = 22;
Kwahio there is no way mapenzi hayo watu wakafikia 65 years kwenye ndoa, labda ungesema mapenzi ya mwaka 47
 
Mkuu:-
2012 - 1990 = 22;
Kwahio there is no way mapenzi hayo watu wakafikia 65 years kwenye ndoa, labda ungesema mapenzi ya mwaka 47
mkuu, fuatilia takwimu (statistics) na sio za Tz tu bali dinia nzima kujua matatizo makubwa katika mahusiano yameanza kipindi gani. Hii kitu 'in 90s' nimeifuatilia sana kabla ya kuileta hapa jamvini sio kuwa nimekurupuka kama unavyoweza kudhani.

Haya matatizo sio kwamba hayakuwepo, yalikuwepo. Lakini katika kipindi hiki observers wanadai imekuwa too much!

 
siku hizi memory za binadamu zinatunza mambo mengi kwa bahati mbaya mengi ya hayo ni artificial. Kabla ya hapo tulizoea kuangalia movies kwenye cinema hall na watu waliweza kutunza baadhi ya siri ambazo zingehatarisha mahusiana lakini leo kila kitu kiko 'kiganjani'!
Ila ukweli ni kuwa sisi tumezidi, bora hao wenzetu wana kauwazi katika mahusiano
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom