miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,805
- 49,104
me napenda yule anayeogeshwa .. mie handsome mie sura kama boko......... mapenzi mubashara sema mi sekereki kirahisi nafurahia tu
yani unatakiwa uonyeshe live mapenzi kwa mwenzio bila ya hata kusua sua.. wengine mishazoeana hata kubusuana mnaogopana ha hahaha mapenzi mubarasha...Hivi Mubashara si ni Live au moja kwa moja? Ni kwa namna gani mapenzi yanaweza kuwa mubashara? napata shida na hiki kiswahili kwa kweli...Why wasiseme '' MAPENZI MOTO MOTO''?
...Sasa hiyo mimi naita mapenzi moto moto!!!yani unatakiwa uonyeshe live mapenzi kwa mwenzio bila ya hata kusua sua.. wengine mishazoeana hata kubusuana mnaogopana ha hahaha mapenzi mubarasha
Moto moto magumu kama yupo unayemvizia...Sasa hiyo mimi naita mapenzi moto moto!!!
Inahusika saana tu!Watu wana utani mbaya,eti kufeli kwa watoto wa Dar na clouds imeshiriki.![]()
![]()
We mwenyewe unaebisha na kulalama oooh sijui clouds wamefanyaje, wewe hapo umetokana na mapenzi sa sijui tatizo liko wapi.
Hicho ni kitu kiko kwenye maisha yetu ya kila siku usikute wewe hapo hata wiki haijaisha tangu uzini
....Kwa hiyo wewe unapenda vya baridi? normally tunapenda vya moto moto i.e ugali/mboga za moto; chai/kahawa ya moto; demu wa motomoto; mapenzi moto moto!!!Moto moto magumu kama yupo unayemvizia
aisee mi inategemeana....Kwa hiyo wewe unapenda vya baridi? normally tunapenda vya moto moto i.e ugali/mboga za moto; chai/kahawa ya moto; demu wa motomoto; mapenzi moto moto!!!
Hao Clouds wanaweza wakamwalika JPM na Mkewe na akaenda!!!!!ni kuendekeza ujinga tu!
tumuombe rais asitishe shughuli jizi za valentine kama alivyofanya katka sherehe nyingine muhimu!
watu wafanye kazi
kwa ile akili kweli anaweza shirikiHao
Hao Clouds wanaweza wakamwalika JPM na Mkewe na akaenda!!!!!