Holoholo-Baba Kijacho
JF-Expert Member
- May 10, 2023
- 6,755
- 13,849
Jana nilibubujikwa na machozi ya huzuni baada ya kukataliwa na mdada fulani kisa kanizidi miaka miwili.
Nilikaa nikajiuliza kwa hiyo hii miaka miwili inatufanya nisitimize adhma yangu ya kuwa nae kimapenzi?
Jamani wewe kama dada unamkataa mwanaume aliyechini yako kiumri lengo lako linakuwa ni lipi sasa?
Bado nampenda na nitaendelea kumpenda japokuwa hana nia na mimi,ipo siku ataishi nami pamoja
Sio mbaya kuwa na mahusiano na mdada mwenye kukuzidi 2yrs.
Nakupenda sana my love japo umenikataa kwa kigezo cha umri.
Nilikaa nikajiuliza kwa hiyo hii miaka miwili inatufanya nisitimize adhma yangu ya kuwa nae kimapenzi?
Jamani wewe kama dada unamkataa mwanaume aliyechini yako kiumri lengo lako linakuwa ni lipi sasa?
Bado nampenda na nitaendelea kumpenda japokuwa hana nia na mimi,ipo siku ataishi nami pamoja
Sio mbaya kuwa na mahusiano na mdada mwenye kukuzidi 2yrs.
Nakupenda sana my love japo umenikataa kwa kigezo cha umri.