Mapenzi kwangu yamenikataa

Mapenzi kwangu yamenikataa

Mkuu ebu nieleweshe vizuri kwanza! Yani huyo demu alipata mimba ya mtu mwingine ukiwa nae wewe kwenye mahusiano na bado ukamtunza mtoto?
 
Polesana
Mapenz yanaumiza

Mkuu ebu nieleweshe vizuri kwanza! Yani huyo demu alipata mimba ya mtu mwingine ukiwa nae wewe kwenye mahusiano na bado ukamtunza mtoto?
Yah kwasabu ya umbali wet niendaga nairobi nikakaa mwaka mzima mim huwa napenda kusafir uku natoa matunzo huwa napenda sana kusafir that why nikaona sio kesi acha tuendele baada ya kulialia sana
 
Pole ndilo neno wataka kusikia... Na anakupenda ndilo neno litakalo kupa faraja ...

Uhalisia "Dunia inataka watu makatili haswa linapokuja swala la nafsi yako" jiangalie we na si yeye ... Tumia akili na sio hisia.


Nasisitiza utaambiwa tafuta pesa pesa pesa... Ji imalishe kiuchumi, kua na afya Bora na jithamini ... Vingine vitafuata
 
Yah kwasabu ya umbali wet niendaga nairobi nikakaa mwaka mzima mim huwa napenda kusafir uku natoa matunzo huwa napenda sana kusafir that why nikaona sio kesi acha tuendele baada ya kulialia sana
Labda wakat unasafir akapata mwingine
 
Habarin za usiku,

Kwangu jaman hali sio shwari hasa upande wa mapenzi. Nilikuwa na mahusihano na dada wakichaga wa Old Moshi kwa muda wa miaka mitatu sasa.

Sasa juzi nilimuomba meeting tukutane, akasema ana hamu ya ice cream basi nikamwambia tukutane hapo Azam ya Kariakoo yeye anakaa kigamboni. Basi mimi nikafika pale mapema piga simu hapokei, nikasema huyu atakuwa anaoga nikasema ngoja niende kwaza Mt. Joseph Posta nikasali kidogo.

Nilingia ibadani saa kumi nikatoka kumi na mbili kasoro hakupiga simu, nikaamua kuondoka nipo Fire kwenye gari ndiyo ananipigia. Eti nilikuwa mbali na simu naoga nakuja, saa moja hiyo, nikamwambia fanya mambo yako!

Nafika home namba ngeni inanicheki inaniambia wewe mshikaji najua unatembea na demu wangu, achana nae kabisa tena futa mazoea, nikaingalia ile namba WhatsApp nikakuta amewekwa dp.

Huyo demu ana mtoto na alimpata wakat mimi na yeye tuna mahusihano na siyo wangu but mapenzi yananguvu mimi nilizama wote, nikawa namhudumia mtoto aliniomb msamaha ndiyo maana kumbe yeye ananichora.

Sasa siwezi msahau halafu nampenda bado, japo nilienda kumpokonya vitu nilivyo mpa, sasa nifanyeje?
Aaaah qmmk,,,bwege wewe
 
Habarin za usiku,

Kwangu jaman hali sio shwari hasa upande wa mapenzi. Nilikuwa na mahusihano na dada wakichaga wa Old Moshi kwa muda wa miaka mitatu sasa.

Sasa juzi nilimuomba meeting tukutane, akasema ana hamu ya ice cream basi nikamwambia tukutane hapo Azam ya Kariakoo yeye anakaa kigamboni. Basi mimi nikafika pale mapema piga simu hapokei, nikasema huyu atakuwa anaoga nikasema ngoja niende kwaza Mt. Joseph Posta nikasali kidogo.

Nilingia ibadani saa kumi nikatoka kumi na mbili kasoro hakupiga simu, nikaamua kuondoka nipo Fire kwenye gari ndiyo ananipigia. Eti nilikuwa mbali na simu naoga nakuja, saa moja hiyo, nikamwambia fanya mambo yako!

Nafika home namba ngeni inanicheki inaniambia wewe mshikaji najua unatembea na demu wangu, achana nae kabisa tena futa mazoea, nikaingalia ile namba WhatsApp nikakuta amewekwa dp.

Huyo demu ana mtoto na alimpata wakat mimi na yeye tuna mahusihano na siyo wangu but mapenzi yananguvu mimi nilizama wote, nikawa namhudumia mtoto aliniomb msamaha ndiyo maana kumbe yeye ananichora.

Sasa siwezi msahau halafu nampenda bado, japo nilienda kumpokonya vitu nilivyo mpa, sasa nifanyeje?
Mwanamke anashika mimba ya mtu mwingine, ilhali yupo kwenye mahusiano na wewe, alaf unachukulia poa?

Hivi wanawatoaga wapi nyie?
 
Habarin za usiku,

Kwangu jaman hali sio shwari hasa upande wa mapenzi. Nilikuwa na mahusihano na dada wakichaga wa Old Moshi kwa muda wa miaka mitatu sasa.

Sasa juzi nilimuomba meeting tukutane, akasema ana hamu ya ice cream basi nikamwambia tukutane hapo Azam ya Kariakoo yeye anakaa kigamboni. Basi mimi nikafika pale mapema piga simu hapokei, nikasema huyu atakuwa anaoga nikasema ngoja niende kwaza Mt. Joseph Posta nikasali kidogo.

Nilingia ibadani saa kumi nikatoka kumi na mbili kasoro hakupiga simu, nikaamua kuondoka nipo Fire kwenye gari ndiyo ananipigia. Eti nilikuwa mbali na simu naoga nakuja, saa moja hiyo, nikamwambia fanya mambo yako!

Nafika home namba ngeni inanicheki inaniambia wewe mshikaji najua unatembea na demu wangu, achana nae kabisa tena futa mazoea, nikaingalia ile namba WhatsApp nikakuta amewekwa dp.

Huyo demu ana mtoto na alimpata wakat mimi na yeye tuna mahusihano na siyo wangu but mapenzi yananguvu mimi nilizama wote, nikawa namhudumia mtoto aliniomb msamaha ndiyo maana kumbe yeye ananichora.

Sasa siwezi msahau halafu nampenda bado, japo nilienda kumpokonya vitu nilivyo mpa, sasa nifanyeje?
Mwanangu babaako nimecheka Mpaka gari zima wananishanga

Utatutoa mbavuuuuuuu
 
Mbona nyie mnazaa nje ya mahusiano yenu na bado tunaendelea na mahusiano hatuwaachi?
Na huwa hatufichi Kama nyie mnavyo fucha Watoto!! Kwanza kuficha Mtoto ni zambi kwa Mungu!!
 
Aaaah qmmk,,,bwege wewe
😂😂Mtie moyo kidogo kha
Wengi wanaoweza kuvumilia na kupotezea maumivu kwenye mahusiano walishawahi kuumia kabla wakahangaika wee sahiz huwaambii kitu 😂wakisikia mtu anaumia wanauliza why lkn awali waliumia hivhivo
 
Mtie moyo kidogo kha
Wengi wanaoweza kuvumilia na kupotezea maumivu kwenye mahusiano walishawahi kuumia kabla wakahangaika wee sahiz huwaambii kitu wakisikia mtu anaumia wanauliza why lkn awali waliumia hivhivo
Exactly. Shida ni kwamba kijana anakuwa hataki kuukubali ukweli kwamba hapa pameshaingia mchanga matokeo yake anajilazimisha kuamini mapenzi bado yapo hata kama anaona waziwazi kwamba hapa sitakiwi
 
We acha ushamba

Mapenzi Yana uma ,that's why umeandika haraka haraka

Umepigwa za uso..ngoja nkupe Siri

1.tafuta hela
2.usishoboke Kwa pis ovyo ovyo
3.kua busy na life yako

kitu kizito kimetua mwamba bado anateseka yuko chini
 
Uko na msichana/ mwanamke kwenye mahusiano af anaku cheat mpaka anabeba mimba bila woga ila kuonyesha jinsi gan wewe ulivyo kiazi kibovu, bado ukaendelea naye na mtoto ukahudumia!!!!..

Braza wewe ni Mjinga..
Heb jiambie kimoyomoyo "mimi ni fala"

Kwakifupi mapenz hayajakushinda ila umejiendekeza kutotumia akili.
Sawa mapenz yanauma ila hapa umejiumiza mwenyewe.

Piga chini huyo LUKUPI a.k.a chuma ulete

ajiambie yeye fala” wanaume tutafika tumechoka sana
 
Back
Top Bottom