Superb2014
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 10,096
- 8,199
Mmmm kweli mapenzi yana nguvu, fanya mambo mengine kwa sasa hivi achana na mapenzi.
Polesana
Mapenz yanaumiza
Yah kwasabu ya umbali wet niendaga nairobi nikakaa mwaka mzima mim huwa napenda kusafir uku natoa matunzo huwa napenda sana kusafir that why nikaona sio kesi acha tuendele baada ya kulialia sanaMkuu ebu nieleweshe vizuri kwanza! Yani huyo demu alipata mimba ya mtu mwingine ukiwa nae wewe kwenye mahusiano na bado ukamtunza mtoto?
Labda wakat unasafir akapata mwingineYah kwasabu ya umbali wet niendaga nairobi nikakaa mwaka mzima mim huwa napenda kusafir uku natoa matunzo huwa napenda sana kusafir that why nikaona sio kesi acha tuendele baada ya kulialia sana
itakuwaLabda wakat unasafir akapata mwingine
Lkn yataisha tu usijali usiwaze sanaitakuwa
Aaaah qmmk,,,bwege weweHabarin za usiku,
Kwangu jaman hali sio shwari hasa upande wa mapenzi. Nilikuwa na mahusihano na dada wakichaga wa Old Moshi kwa muda wa miaka mitatu sasa.
Sasa juzi nilimuomba meeting tukutane, akasema ana hamu ya ice cream basi nikamwambia tukutane hapo Azam ya Kariakoo yeye anakaa kigamboni. Basi mimi nikafika pale mapema piga simu hapokei, nikasema huyu atakuwa anaoga nikasema ngoja niende kwaza Mt. Joseph Posta nikasali kidogo.
Nilingia ibadani saa kumi nikatoka kumi na mbili kasoro hakupiga simu, nikaamua kuondoka nipo Fire kwenye gari ndiyo ananipigia. Eti nilikuwa mbali na simu naoga nakuja, saa moja hiyo, nikamwambia fanya mambo yako!
Nafika home namba ngeni inanicheki inaniambia wewe mshikaji najua unatembea na demu wangu, achana nae kabisa tena futa mazoea, nikaingalia ile namba WhatsApp nikakuta amewekwa dp.
Huyo demu ana mtoto na alimpata wakat mimi na yeye tuna mahusihano na siyo wangu but mapenzi yananguvu mimi nilizama wote, nikawa namhudumia mtoto aliniomb msamaha ndiyo maana kumbe yeye ananichora.
Sasa siwezi msahau halafu nampenda bado, japo nilienda kumpokonya vitu nilivyo mpa, sasa nifanyeje?
Mwanamke anashika mimba ya mtu mwingine, ilhali yupo kwenye mahusiano na wewe, alaf unachukulia poa?Habarin za usiku,
Kwangu jaman hali sio shwari hasa upande wa mapenzi. Nilikuwa na mahusihano na dada wakichaga wa Old Moshi kwa muda wa miaka mitatu sasa.
Sasa juzi nilimuomba meeting tukutane, akasema ana hamu ya ice cream basi nikamwambia tukutane hapo Azam ya Kariakoo yeye anakaa kigamboni. Basi mimi nikafika pale mapema piga simu hapokei, nikasema huyu atakuwa anaoga nikasema ngoja niende kwaza Mt. Joseph Posta nikasali kidogo.
Nilingia ibadani saa kumi nikatoka kumi na mbili kasoro hakupiga simu, nikaamua kuondoka nipo Fire kwenye gari ndiyo ananipigia. Eti nilikuwa mbali na simu naoga nakuja, saa moja hiyo, nikamwambia fanya mambo yako!
Nafika home namba ngeni inanicheki inaniambia wewe mshikaji najua unatembea na demu wangu, achana nae kabisa tena futa mazoea, nikaingalia ile namba WhatsApp nikakuta amewekwa dp.
Huyo demu ana mtoto na alimpata wakat mimi na yeye tuna mahusihano na siyo wangu but mapenzi yananguvu mimi nilizama wote, nikawa namhudumia mtoto aliniomb msamaha ndiyo maana kumbe yeye ananichora.
Sasa siwezi msahau halafu nampenda bado, japo nilienda kumpokonya vitu nilivyo mpa, sasa nifanyeje?
Mwanangu babaako nimecheka Mpaka gari zima wananishangaHabarin za usiku,
Kwangu jaman hali sio shwari hasa upande wa mapenzi. Nilikuwa na mahusihano na dada wakichaga wa Old Moshi kwa muda wa miaka mitatu sasa.
Sasa juzi nilimuomba meeting tukutane, akasema ana hamu ya ice cream basi nikamwambia tukutane hapo Azam ya Kariakoo yeye anakaa kigamboni. Basi mimi nikafika pale mapema piga simu hapokei, nikasema huyu atakuwa anaoga nikasema ngoja niende kwaza Mt. Joseph Posta nikasali kidogo.
Nilingia ibadani saa kumi nikatoka kumi na mbili kasoro hakupiga simu, nikaamua kuondoka nipo Fire kwenye gari ndiyo ananipigia. Eti nilikuwa mbali na simu naoga nakuja, saa moja hiyo, nikamwambia fanya mambo yako!
Nafika home namba ngeni inanicheki inaniambia wewe mshikaji najua unatembea na demu wangu, achana nae kabisa tena futa mazoea, nikaingalia ile namba WhatsApp nikakuta amewekwa dp.
Huyo demu ana mtoto na alimpata wakat mimi na yeye tuna mahusihano na siyo wangu but mapenzi yananguvu mimi nilizama wote, nikawa namhudumia mtoto aliniomb msamaha ndiyo maana kumbe yeye ananichora.
Sasa siwezi msahau halafu nampenda bado, japo nilienda kumpokonya vitu nilivyo mpa, sasa nifanyeje?
Na huwa hatufichi Kama nyie mnavyo fucha Watoto!! Kwanza kuficha Mtoto ni zambi kwa Mungu!!Mbona nyie mnazaa nje ya mahusiano yenu na bado tunaendelea na mahusiano hatuwaachi?
😂😂Mtie moyo kidogo khaAaaah qmmk,,,bwege wewe
Exactly. Shida ni kwamba kijana anakuwa hataki kuukubali ukweli kwamba hapa pameshaingia mchanga matokeo yake anajilazimisha kuamini mapenzi bado yapo hata kama anaona waziwazi kwamba hapa sitakiwiMtie moyo kidogo kha
Wengi wanaoweza kuvumilia na kupotezea maumivu kwenye mahusiano walishawahi kuumia kabla wakahangaika wee sahiz huwaambii kituwakisikia mtu anaumia wanauliza why lkn awali waliumia hivhivo
We acha ushamba
Mapenzi Yana uma ,that's why umeandika haraka haraka
Umepigwa za uso..ngoja nkupe Siri
1.tafuta hela
2.usishoboke Kwa pis ovyo ovyo
3.kua busy na life yako
kitu kizito kimetua mwamba bado anateseka yuko chiniUko na msichana/ mwanamke kwenye mahusiano af anaku cheat mpaka anabeba mimba bila woga ila kuonyesha jinsi gan wewe ulivyo kiazi kibovu, bado ukaendelea naye na mtoto ukahudumia!!!!..
Braza wewe ni Mjinga..
Heb jiambie kimoyomoyo "mimi ni fala"
Kwakifupi mapenz hayajakushinda ila umejiendekeza kutotumia akili.
Sawa mapenz yanauma ila hapa umejiumiza mwenyewe.
Piga chini huyo LUKUPI a.k.a chuma ulete