Levis Ndekeno
New Member
- Jul 10, 2012
- 4
- 0
Daaah! Maisha ya siku hizi bila mapenzi mbele hamna chochote. Haswa sisi vijana tunaendekeza sana mapenzi kuliko chochote kile. Kwa atkaye pinga kuhusu hli acoment na awe na vthbitsho tosha vya kunfany nkubar