Huyo alimpata aliyemridhisha kimapenzi halafu kamtosa, ni mbaya sana usiombee ikutokekee.
Ndio amlilie mtoto wa miaka 25
Mnh! Yaani nikimuona analia hivi badala ya kumhurumia ndio ntamtosa faster!
Mmmmh!!ni kweli mapenzi yanaliza ...sio wakati wote yanaliza kwa uchungu...
View attachment 65208
wakati wa kulia kwa raha huwa ndo mtamu zaidi
View attachment 65209
limepigwa chini na jua ndo limezama yaani linapiga ukunga vibaya sana ..hahaaaa
Hahahaha kwanini?.....anatia huruma lakini
Sent from my BlackBerry 9100 using JamiiForums