Mkuu huyo babu naona kama zinamchonota hizo pesa yaana hapo huyo dada ni msomi na ana degeri na deploma ya kuwachuna mabuzi na hapo wala hawalingani kabisa ni sawa sawa na mtoto wake wa kumzaa au ni kijukuu chake
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.