Mapenzi hayachagui umri

Mapenzi hayachagui umri

Ashura9

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2012
Posts
740
Reaction score
485
upload_2016-2-14_12-46-45.png
 
Mpaka nguo ilikuwa salesale, upon time ilikuwa full shangwe aseee!!
 
Hii ni changamoto kwa kizazi cha kidigitali.
 
Kwa dunia ya sasa ivi...hakuna kitu km icho kabsa 100%
 
Sasa hayachagui vp wakati unaona hao washazeeka pamoja
 
Kizazi hichi hakuna anaetaka uzee kila mmoja anataka aendelee kuitwa baby.....Watu wanashinda gym na kupambana na makeup na maviatu yenye visigino virefu hadi balnce wanakosa kabisa ya kutembea ila wanapambana tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom