love peace
Senior Member
- Sep 10, 2013
- 130
- 37
Habari wana JF,
Nirudi katika mada,yan nashindwa kuelewa nimueleweje huyu mwanaume wangu wa sasa.
Tuna mahusiano ya kama miezi miwil lakini ghafla naona amebadilika hanijali hata nikienda kwake anaweza toka nje kupiga story na rafik zake na akaniacha ndani.
No sms kama zamani wala hana muda hata wa kutoka na mimi na hata FB yake hataki nijue password yake.
Sina amani na mahusiano haya.
kweli ana pesa,mtanashati lakini sioni raha ya mahusiano.nikimuliza ananiambia dada zake wamegombana nyumbani ndo mana amekuwa hivyo lakini sidhani kama ni sababu.
Nisaidieni cha kufanya wana jf nina mawazo sana.
Nirudi katika mada,yan nashindwa kuelewa nimueleweje huyu mwanaume wangu wa sasa.
Tuna mahusiano ya kama miezi miwil lakini ghafla naona amebadilika hanijali hata nikienda kwake anaweza toka nje kupiga story na rafik zake na akaniacha ndani.
No sms kama zamani wala hana muda hata wa kutoka na mimi na hata FB yake hataki nijue password yake.
Sina amani na mahusiano haya.
kweli ana pesa,mtanashati lakini sioni raha ya mahusiano.nikimuliza ananiambia dada zake wamegombana nyumbani ndo mana amekuwa hivyo lakini sidhani kama ni sababu.
Nisaidieni cha kufanya wana jf nina mawazo sana.