Smith Rowe
JF-Expert Member
- Sep 18, 2018
- 4,513
- 9,553
mapenzi ya kweli nitapata wapi?
wake wapi wa matajiri?Najarbu kuwaangalia matajir walivyojitosheleza kifedha ila wake zao ndo wanaongoza kuliwa na mabodaboda na waendesha tax,sasa cjui mechanism ya hyo pesa kweny mapnz imetumika wap?
Pole sana kiongozi, jaribu tena bahati yako huenda ukaokota Dodo chini ya mnazi 😂NILIFANYA VYOTE HIVYO NIKAISHIA KUBWAGWA... MAPENZI HAYANA FORMULA NA HAYASHAURIKI
Huyu mwamba toka wajumbe wa jf walipompiga biti kwanini ana comment wa kwanza kwenye kila uzi alitokomea pasipojulikana..🤣🤣🤣Za siku jombaa
Mkuu mwanamke nae nikiumbe anaujali pia na anaweza kusaidia n.kKwa nlivyoelewa umemaanisha kuwa tuwajali wanawake kwa ku offer vitu flan flan,ila natka kuuliza vp na wale madem wanaogharamikia waume/wapenz wao tuwaweke kweny kundi gani?
Kwa hyo hilo n gen kwako au na ww n mhanga wa kuliliwa mke na watunza bustani?wake wapi wa matajiri?
acha kuandika urojo. umekuwa sasa.
Unaweza kuwa na pesa lkn ikawa haijitoshelezi.. ndio maana nikaweka sifa kadharika hapo.. Mara nyingi mtu hufuata kitu nje kile ambacho hakipo ndani!.. usikute ndio pesa ipo lkn pia sex performance haipo!.. nakumbusha Tena let's be gentleman.Najarbu kuwaangalia matajir walivyojitosheleza kifedha ila wake zao ndo wanaongoza kuliwa na mabodaboda na waendesha tax,sasa cjui mechanism ya hyo pesa kweny mapnz imetumika wap?
aah!bac nikubaliane na ww kuwa upendo wa kwel haujajichimbia kweny hela sema ss ndo tunaupeleka huko maana ,cdhan kama nitakuwa sahihi kwa maelezo hayoMkuu mwanamke nae nikiumbe anaujali pia na anaweza kusaidia n.k
Hao watakaa kundi la wenye upendo pia hata yule asienacho Kuna vitu fulani akikupatia hata Kama si chakuonekana tunaweza ita ni upendo pia.. Mambo ya Sasa yamekuja kufuta tafsiri ya upendo ndio maana watu ukiwaambia hivi hawaelewi!.
Yaan hili neno kupenda n mtambuka sanaa maana kama unapesa utapendewa pesa zako ila kwama unashindwa kumridhisha ataipeleka kwa anaemjulia vzur na uhalisia atachota pesa zako kumpelekea anamridhisha,kwa hyo m naona tu play pande zote,kuwaridhisha na kuwapa helaUnaweza kuwa na pesa lkn ikawa haijitoshelezi.. ndio maana nikaweka sifa kadharika hapo.. Mara nyingi mtu hufuata kitu nje kile ambacho hakipo ndani!.. usikute ndio pesa ipo lkn pia sex performance haipo!.. nakumbusha Tena let's be gentleman.
Hela tafsiri yake nimesema ni mahitaji tu.. so sio kizingiti cha moja kwa moja kuwa kitakuleta mapenzi ya kweli!.. upo sahihi mkuu vitu hutegemeana maana hata kwenye utu pesa hukaa pembeni!.. mtu anaweza kukutendea jambo bila kujali pesa yako na mtu anaweza kutanguliza pesa na akakosa hiyo huduma wkt Kuna mtu alitanguliza utu akapata huduma!.Aah aah!bac nikubaliane na ww kuwa upendo wa kwel haujajichimbia kweny hela sema ss ndo tunaupeleka huko maana ,cdhan kama nitakuwa sahihi kwa maelezo hayo
Binadamu wabaya sana aiseh..😅😅😅Huyu mwamba toka wajumbe wa jf walipompiga biti kwanini ana comment wa kwanza kwenye kila uzi alitokomea pasipojulikana..🤣🤣🤣
Atleast umeongea point ya msingi, labda cha kuongezea.Wanawake hawaeleweki utayafanya yore lakini utaishia kuumizwà maana wana kawaida ya kumkinai mwanaume na kufanya visa wañaondoka
Ndio kabisa...cha muhimu ni maridhiano tu kabla ya mambo yoyoteUnaweza kuwa na pesa lkn ikawa haijitoshelezi.. ndio maana nikaweka sifa kadharika hapo.. Mara nyingi mtu hufuata kitu nje kile ambacho hakipo ndani!.. usikute ndio pesa ipo lkn pia sex performance haipo!.. nakumbusha Tena let's be gentleman.
Mkuu uko sahihiAtleast umeongea point ya msingi, labda cha kuongezea.
1.Kitu kimfurahichasho mwanamke leo sio kitu ambacho kitamfurahisha week ijayo. Utahisi kumpa mahela ya shopping avae nguo za gharama ndio umemuweza ila itafika stage atazoea hela so itakuwa sio big deal, utaanza kuambiwa hujali. Kutimiza mahitaji ya KE ni kipengele
2. Kitu anachokipendea kwako mwanamke sio kitu anachokipendea kwangu. Hii kwa kifupi inaitwa tamaa. Ni mtihani mgumu sana mwanamke kuishina tamaa wanaume tofauti.
kuliliwa ndiyo nini?Kwa hyo hilo n gen kwako au na ww n mhanga wa kuliliwa mke na watunza bustani?
NILIFANYA VYOTE HIVYO NIKAISHIA KUBWAGWA... MAPENZI HAYANA FORMULA NA HAYASHAURIKI

pole sana mkuu