Mapenzi gani haya?

Mapenzi gani haya?

MLALUKO JR

JF-Expert Member
Joined
May 3, 2015
Posts
962
Reaction score
309
Ndugu zngu wana-JF poleni na majukumu na mihangaiko ya kila uchao!

KISA:

Naombeni ushauri wenu kwani kuna binti nilkutana naye kwenye usafiri tukakubaliana na kuingia kwenye uhusiano baada ya kunitengenezea mazngira ya kuwa nae yeye mwenyewe.

Ila cha kushangaza alinambia ananpenda sana lakini mpka sasa ana bwana mwngne ambaye ni mkaguzi wa mahesabuwa jijini fulani huwa yuko busy sana.Je, kwa hali hiyo kuna mapenzi apo kweli?

Tushauriane!
 
Inapaswa Wanaume tuone aibu kuomba ushauri kwa vitu vidogo sana kama hivi.
 
Ushauri wa nini sasa? Well, kuwa mchepuko wake labda!
 
Daaahhhhhh broo hapo hakuna ushauri... Huez shindana na afisa mahisabati...... We kama mzee wako anashamba kaombe akukatie kipande cha urithi ujishughulishe na kilimo tu..... Maana unanyota ya Mbigili na Magugumaji
 
Kwako mapenzi, kwa huyo mwingine pesa. Bado ataenda kwa mtunisha misuli...
 
Mme mwenzio ni mkaguzi wa hesabu na wewe unafanya kazi gani?
 
Daaahhhhhh broo hapo hakuna ushauri... Huez shindana na afisa mahisabati...... We kama mzee wako anashamba kaombe akukatie kipande cha urithi ujishughulishe na kilimo tu..... Maana unanyota ya Mbigili na Magugumaji

Dah umenichekesha sana mkuu..!!
 
C ule afu usepe ukikamatwa uliwe haina namna mkaguzi mkuu ww Jamaa chenga kweli
 
Duhh....inabidi umchunguze kama wanafanyaga kale kamchezo ukikuta hawafanyi basi huyo muache haraka sana ila ukikuta wanafanya tangaza ndoa ndani ya wiki mbili maana hatakuwa tayari amehitimu yale mafunzo yetu
 
Back
Top Bottom