Logo
JF-Expert Member
- Jan 26, 2011
- 588
- 48
Yani mimi napenda sana niolewe na maskini ili nimtunze mimi! Ukweli hakuna anachoweza kukosa kwangu na uzuri vyote ni haki na vya kupewa na Bwana. Sasa eti nimejaribu sana kutafuta maskini ila awe na sifa za kujiheshimu, mcha Mungu lakini sipati! Mama ameniambia eti watanitesa sana. Nisaidieni eti kweli watanitesa?