Nguvu moja
JF-Expert Member
- Oct 20, 2017
- 3,371
- 2,712
Mnaishi kama mke na mume ndani ya
Nyumba, mkianza kuchokana tu,
Basi kinanuka...Mara mmeachana kwa kashifa na dharau kibao, kwa kweli nyumba hizi zina mambo mengi sana,
Watu wanaishi kwa mazowea haswa
Waliobahatika kuzaa watoto wakubwa
Kuachana ni aibu..wanavumiliana Na
Wanaishi kimazowea ila wale wasiobahatika
Kupata watoto, wakichokana Tu
Au kikinuka Mara paaap wameachana
Ni hatari sana na kupotezeana muda Na
Wakati sometime bora uwe msela tu!!
Nyumba, mkianza kuchokana tu,
Basi kinanuka...Mara mmeachana kwa kashifa na dharau kibao, kwa kweli nyumba hizi zina mambo mengi sana,
Watu wanaishi kwa mazowea haswa
Waliobahatika kuzaa watoto wakubwa
Kuachana ni aibu..wanavumiliana Na
Wanaishi kimazowea ila wale wasiobahatika
Kupata watoto, wakichokana Tu
Au kikinuka Mara paaap wameachana
Ni hatari sana na kupotezeana muda Na
Wakati sometime bora uwe msela tu!!