amekuja na mbinu mpya usiweze kumwacha tena lol ......kama hupendi anachokifanya mweleze lakini kama wafurahia ndio maujanja/maubunifu mapya
Mmmmmmmh! We dada kimbia! Atakuanzishia mambo ya mombasa huyo!!! Ohooooo! Utanyorodoka marinda!!!! Astakafilu!!!! Hakawii kukosea njia!
lara 1 naona umeibuka haya bana leo ulitulia sana hope ulikuwa kwenye ujenzi wa taifa. miss strong kwa hapo huhitaji ushauri ni ww tu kutumia akili zako kama waona salama we endelea kama inakukera tupa kule ingawa ushauri mzuri ni acha kwani BANDUA BANDUA humaliza GoGo.
Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
Aisay wanawake wasiku hizi mmeisha thamani, kwanza mnafyekwa kabla ya ndoa, pili mnaingiziwa kwenye matundu ya nyaa...Yani hizo K zenu zimeisha kuwa hazina thamani tena, ndo mana wanaona bora wakakanyage mavi yenu.
Afu na wewe kweli jinga lolo mwanaume anakunyonya ku n du lako na wewe bado unamuona binadamu, huoni kama huyo sio binadamu :biggrin:
Yan we acha tuuuu....nikimbie wp?
Kesha fundishwa huyo hahahah
Kwani unafurahia au unachukia?
Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
Dada/Kaka unatukana wengi humu kwa hilo...mie nakurudishia, mwenyewe!
Yan we acha tuuuu....nikimbie wp?
Weakness
Sent from my BlackBerry 9100 using JamiiForums
Baada ya kumpa pole mwenzio wamcheka jamanii!
Sent from my BlackBerry 9100 using JamiiForums