Ujenzi wa taifa gani? Hili hili lililouzwa kwa mkopo? Nilikuwa kwenye mishe mishe kwa MGANGA WA KIENYEJI, Nitasimulia siku humu we acha tu! SI TUAKAGONGANA WADAU!!!!!!!
Na wewe mtu anaye fikia mpaa ana lamba sehemu za nyaa huyo ni binadamu unadhani!Dada/Kaka unatukana wengi humu kwa hilo...mie nakurudishia, mwenyewe!
Yamezid kaka weeeeee,alafu full kulipigapiga c unajua tena mtoto wakinyakyusa nipo fulu.....ananipa maswal sana kunichezea hyo inshu.
duuuuh !
Ngoja nikuulize swali mleta thread...! Unamuogopa huyo mpenzi wako? Mie sipati picha eti nafanyiwa kitu na mpenzi wangu ambacho hakinipendezi halafu nakaa kimya..! Mmmh.. Tena jambo lenyewe kama hilo linaloelekea kwenye hatari... Mwambie kwamba HUTAKI huo mchezo... Mbona michezo ipo Mingi tuu mizuri, ina maana haijui??
na mimi nioneshe hiyo michezo tafadhali