Haraka za nini, leo si ndo tunajua mbivu na mbichi? Au ni kesho?
#Hakuna haja ya kukisia mambo wakati ukweli uko tayari, wacha tusubiri ingawa wamekata umeme ila ukweli haujifichi.
Katika kile kinachoonesha kama kupanic na hofu kwa ripoti ya CAG baada ya kuonesha kuwa hakuna kasoro katika mchakato wa utoaji wa fedha za escrow, Mwenyekiti wa kamati ya PAC ameibuka na kutoa mapendekezo yafuatayo
1.PM KUJIUDHURU KWA KUSHINDWA USIMAMIZI
2.AG AMESAMEHE VAT
3.PROF AJIUZURU KWA KUMLETA RUGEMALIRA
4.MASELE AJIUZURU KWA KUMSHAMBULIA BALOZI.
Katika mapendekezo yake hapo juu Zitto ameonyesha kuweweseka na kile ripoti ya CAG kimebaini kuhusu mchakato wa utoaji fedha za escrow ambazo inasemekana ni malipo halali ya IPTL
nani kauzuia mjadala kwan? hao wenyewe ndo wanatengeneza mazingira ya kutaka kupiga pesa wakati ripot inaonyesha wazi kwamba ni nyeupe?Pole sana, malipo halali kwa iptl? Wangehangaikà kuzuia mjadala?
We we ni ndugu Wa Lyatonga Mrema mini! Ndio ana kichwa kibovu kama chako.Katika kile kinachoonesha kama kupanic na hofu kwa ripoti ya CAG baada ya kuonesha kuwa hakuna kasoro katika mchakato wa utoaji wa fedha za escrow, Mwenyekiti wa kamati ya PAC ameibuka na kutoa mapendekezo yafuatayo
1.PM KUJIUDHURU KWA KUSHINDWA USIMAMIZI
2.AG AMESAMEHE VAT
3.PROF AJIUZURU KWA KUMLETA RUGEMALIRA
4.MASELE AJIUZURU KWA KUMSHAMBULIA BALOZI.
Katika mapendekezo yake hapo juu Zitto ameonyesha kuweweseka na kile ripoti ya CAG kimebaini kuhusu mchakato wa utoaji fedha za escrow ambazo inasemekana ni malipo halali ya IPTL
jamani mbona zzk kama kapanik vile
kweli wewe ndo ujamuelewa zito au wewe ndo upeo wako mdogo maana zito kasema AG AMESAMEHE VAT maana yake AG hawajibishe ndo maana ya zito sasa wewe unakurupuka tu na kutoka na povuUnaonesha Una upeo mdogo Sana halafu hujui hata kuzusha unaposema " AG AMESAMEHE VAT" hili Ni aina gani ya pendekezo alilolitoa bwana Zitto. Nenda kajipange urudi tena
wale waongo tu kina zito wanatafuta kiki za kisiasa tu lipot ya CAG ipo wazi kabisa labda zito kakesha kulinda ripot yake binafsi na sio lipot ya CAGKipi kimfanye apanic wanaume wamekesha kulinda ripoti original isiibiwe na majambazi ya ccm wewe unaleta ngonjera hapa. Tulia acha mbwembwe
wewe ulitaka aseme mzee wa tezi aachie ngazi? Wanaotakiwa kuwajibika ni pinda na genge lake na pesa zirudi. Ningefurahi kama serikali ingevunja mkataba na iptl mara moja.
#kumbe gazeti lenyewe ni hili la kichaga!
we we ni ndugu wa lyatonga mrema mini! Ndio ana kichwa kibovu kama chako.
kweli wewe ndo ujamuelewa zito au wewe ndo upeo wako mdogo maana zito kasema ag amesamehe vat maana yake ag hawajibishe ndo maana ya zito sasa wewe unakurupuka tu na kutoka na povu