Ni msanii mkubwa tena mwenye jina lakini aliamua kuheshimu sauti ya moyo wake kufuata kile anachokipenda nakukiamini. Hakujiuza kama wenzake. Hakufuata mkumbo kama wenzake.
Ni msanii pekee mwenye jina aliyeamua kubaki na Lowassa.
Anastahili kufikiriwa viti maalum..
Mngejua jinsi Regina alovyopinga EL asihamie chadema hata msingeongea huu utumbo..mi nashauri Lowassa ndo apewe viti maalumu
#MboweMustGo
Cc Mmawia Mzee Mwanakijiji nifah Bavaria
Maajabu Ya dunia baada Ya chama kupoteza mvuto leo hii wema sepetu na Steve nyerere ndio wame kipa ushindi duhhh kweli TZ bongo movies bongo lala
Nifah ule ni ushindi wa mezani co wa uwanjani
Sijui kama mnaandika kwa kutoelewa au mnafanya makusudi. Viti maalumu wanapendekezwa mapema na kwa utaratibu uliokwisha fanyika. Kama mtakumbuka uchaguzi au kura za maoni zilifanyika kabla ya kuanza kampeni na wapendekezwaji maiina yao yakawasilishwa NEC. Sasa haya mapendekezo yenu sijui yatatekelezwaje?Habari wadau..
Huyu dada ni jembe sana na kamanda wa CHADEMA muda mrefu..
Kama alivyokuwa mume wake Kafulila umuhimu wake bungeni nae amekosa jimbo la Iramba Singida.
Ni bora CHADEMA wakampa viti maalum ili akalizibe pengo la mumewe bungeni.
hahahh hahaahhamsaga sumu msaga sumu msaga sumu asisahauliwe jamani lile songi lake la oyoooo oyo oyo oyo limehamasisha sana huku uswahilini.licha ya kupiga pesa za mamvi naomba apewe ubunge jamani tusimsahau.kama vipi apewe hata ukatibu wa chama nafasi ya dr mihogo kama viti maalumu hafai.
Kapata kura nyingi sana, shurti apewe. mtatiro atajuana na cuf yake.lakini Anatropia asipewe kama adhabu ya kumuhujumu Mtatiro
Viongozi wa chadema segerea ndio wahujumu..kwa nini walisaini fomu za Anatropia?Naunga mkono sana! Amefanya hujuma mbaya sana! Hata kwenye Chama asipewe nafasi ya uongozi wowote! Hakutaka kuwasikiliza Viongozi wake.