Wakati Tume ya Katiba ya judge Warioba ikikusanya maoni ya wadau mbalimbali nchini, Tume ya Uchaguzi iliweka wazi kwamba haipo huru na ikashauri ipewe uhuru wake ili iweze kutekeleza majukumu yake kwa uhuru na kuweza endesha chaguzi ambazo zitakuwa free, fair and credible.
Rasimu ya katiba mpya was bastardized by CCM. Cha ajabu leo, mkurugenzi wa Tume ya Uchaguzi anasema kwamba tume ipo huru.!tende na harua vina haribu nchi yetu.
Rasimu ya katiba mpya was bastardized by CCM. Cha ajabu leo, mkurugenzi wa Tume ya Uchaguzi anasema kwamba tume ipo huru.!tende na harua vina haribu nchi yetu.