Sema tunapigwa kiongozi. Mnyama anaiwakilisha ligi ya Tanzania.Mnapigwa kwenu si chini ya mbili
Aaaah wapi sipigwi Mie unapigwa weweSema tunapigwa kiongozi. Mnyama anaiwakilisha ligi ya Tanzania.
Hii ndio slogan muhimuHabari wanamichezo na wapenda soka kwa ujumla.Poleni kwa yaliyoikuta Nchi yetu huko kwa kwa Makaburu.
Jumamosi ni siku ambayo tutaenda kuishangaza dunia kwa kuichakaza vibaya mno Kaizer siyo (lazima uamini)lakini ipo hvyo.Last time tulikuwa na Slogan WAR IN DAR,POINT OF NO RETURN na zingne nyingi.Safari hii unapendekeza tuingie na Slogan ipi?
Karibuni.
Imani ni kitu ajabu sana. Yaani mmewekeza imani yenu kwa Manara,chochote atakachobuni yeye tayari mnakiweka mioyoni mwenu. Eti war in dar....!matakoooooo...Habari wanamichezo na wapenda soka kwa ujumla.Poleni kwa yaliyoikuta Nchi yetu huko kwa kwa Makaburu.
Jumamosi ni siku ambayo tutaenda kuishangaza dunia kwa kuichakaza vibaya mno Kaizer siyo (lazima uamini)lakini ipo hvyo.Last time tulikuwa na Slogan WAR IN DAR,POINT OF NO RETURN na zingne nyingi.Safari hii unapendekeza tuingie na Slogan ipi?
Karibuni.
Magoli yaendelee
F..k 'em or kill 'emHabari wanamichezo na wapenda soka kwa ujumla.Poleni kwa yaliyoikuta Nchi yetu huko kwa kwa Makaburu.
Jumamosi ni siku ambayo tutaenda kuishangaza dunia kwa kuichakaza vibaya mno Kaizer siyo (lazima uamini)lakini ipo hvyo.Last time tulikuwa na Slogan WAR IN DAR,POINT OF NO RETURN na zingne nyingi.Safari hii unapendekeza tuingie na Slogan ipi?
Karibuni.