homeless1
JF-Expert Member
- Sep 24, 2020
- 427
- 957
Leo ni siku iliyosubiriwa kwa hamu na wapenda kandanda Africa baada ya kuisha hatua ya Makundi ya michuano ya klabu bingwa Africa na Kombe la shirikisho Africa
Kuelekea kupangwa kwa droo ya robo fainali kaa nami upate live updates ujue nani kakutana na nani na mechi zitachezwa kuanzia lini
Ikumbukwe mwakilishi pekee wa Africa mashariki na kati Simba SC atakutana na kati ya Kaizer Chiefs,CB Belouizdad na Mc Alger quorter
=======
MC Alger VS Wydad AC
Kaizer Chiefs Vs Simba SC
CR Belouizdad Vs ES Tunis
Al Ahly SC Vs Mamelodi Sundowns
Kuelekea kupangwa kwa droo ya robo fainali kaa nami upate live updates ujue nani kakutana na nani na mechi zitachezwa kuanzia lini
Ikumbukwe mwakilishi pekee wa Africa mashariki na kati Simba SC atakutana na kati ya Kaizer Chiefs,CB Belouizdad na Mc Alger quorter
=======
MC Alger VS Wydad AC
Kaizer Chiefs Vs Simba SC
CR Belouizdad Vs ES Tunis
Al Ahly SC Vs Mamelodi Sundowns