Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 97,150
- 137,132
- Thread starter
-
- #81
we msukuma wa bariadi hapo ndio umeonyesha umbumbumbu na upunga. ndio maana huko marekani umeolewa kwasababu ya utupu kichwani wa aina hii. nyie sijui nani kawaloga, mnaweza tu kufunga ng'ombe.
"USA baby!!!!" bania pua wanawake wenzako nyambafu wewePrecise Punga😀
uwa nafuatilia maandiko yako,mengi yalionyesha kama una busara, lakini hili hapa ni bandiko la kitoto sana. maybe this was after inebriating your brain.Toka rais Magufuli aingie madarakani kumekuwepo na kelele nyingi sana hususan humu JF za kwamba eti yeye ni mkabila na mkanda.
Kwamba eti yeye serikali yake imejaa Wasukuma na watu wengine wa kanda ya ziwa. Nimejaribu kwa muda mrefu sasa na bila mafanikio kuomba nipewe takwimu zinazothibitisha hayo madai lakini wapi!
Sasa jana na leo yameibuka ya CCM kama chama kutuhumiwa hayo mambo. Kwamba eti CCM sasa ni chama cha kikanda kwa sababu mwenyekiti mpya wa UVCCM eti ni mpwa wa Magufuli.
Mimi sijui kama kweli huyo mtu ni mpwa wa Magufuli au la. Bado nasubiri uthibitisho na/au maelezo zaidi juu ya hilo.
Ila kwa sasa ningependa kupendekeza jambo moja au mambo kadhaa, kutegemea na mtu utavyolichukulia suala lenyewe.
Ni hivi, napendekeza iundwe sheria itayokataza viongozi wa serikali, kuanzia rais hadi viongozi wengine wenye madaraka na mamlaka ya kuteua watumishi, kuteua watu wa makabila yao, imani zao za dini, madhehebu yao ya dini, jinsia zifananazo na zao, watu watokao kanda watokazo wao, marafiki zao, majirani zao, jamaa zao, na mambo mengine kama hayo ili kuondoa haya manung’uniko ya upendeleo wa hiyo misingi katika utumishi wa umma.
Yaani kwa mfano kwa mfano, kama Magufuli ni Mkristo na Mkatoliki basi ni marufuku yeye kuteua watu wa imani ya Kikristo na Wakatoliki wenzie. Vilevile, itakuwa ni marufuku yeye kuteua watu wa kanda ya ziwa....yaani hakuna cha kuteua Mnyamwezi, Msukuma, Mkurya, Mhaya, Mjaluo na wengineo wote watokeao huko hata kama wana sifa nzuri namna gani. Pia hakuna kuteua wanaume.
Ateue Wachaga, Wagogo, Wandengereko, Wapagani, Waislamu, wanawake, na wengine ambao hafanani nao kwa namna yoyote ile ukiondoa labda rangi ya ngozi tu.
Naamini kwa dhati kabisa kuwa sheria kama hii italeta usawa, italifurahisha taifa, na itaondoa kabisa ubaguzi na upendeleo kwenye utumishi wa umma.
"USA baby!!!!" bania pua wanawake wenzako nyambafu wewe
Na wewe endelea kupokea mnara tu.We endelea kukata viuno tu.
Na wewe endelea kupokea mnara tu.
"Kolomije baby!!!!!" huku mmeshikwa saburi wewe na yule wa UVCCMFunga kibwebwe ukatike vizuri.
"Kolomije baby!!!!!" huku mmeshikwa saburi wewe na yule wa UVCCM
Chezesha huo msambwanda wanaoushika hivyo vizee unavyoviogeshaHebu stua hicho kijoti nione...
Chezesha huo msambwanda wanaoushika hivyo vizee unavyoviogesha
Naona unakata mpaka chiniWacha weee...zungusha basi...
Naona unakata mpaka chini
"USA baby!!!!!" Tanua saburi izameWacha weee!
Binuka basi.... teh teh
"USA baby!!!!!" Tanua saburi izame
Mabeyo alikuwa mkuu wa MIS na akapandishwa akawa mnadhimu mkuu
Mwamunyange alikuwa mkuu wa jkt na kama sijakosea mwaka mmoja kabla ya cdf wa wakati ule kustaafu alipandishwa kuwa mnadhimu mkuu
Huyo jamaa hana fact
Watu hawajalalamikia kuteuliwa watu kwa kufata protocal yako wanacholalamika Ni wingi Wa watu Wa kanda ya ziwa kwenye sirikalToka rais Magufuli aingie madarakani kumekuwepo na kelele nyingi sana hususan humu JF za kwamba eti yeye ni mkabila na mkanda.
Kwamba eti yeye serikali yake imejaa Wasukuma na watu wengine wa kanda ya ziwa. Nimejaribu kwa muda mrefu sasa na bila mafanikio kuomba nipewe takwimu zinazothibitisha hayo madai lakini wapi!
Sasa jana na leo yameibuka ya CCM kama chama kutuhumiwa hayo mambo. Kwamba eti CCM sasa ni chama cha kikanda kwa sababu mwenyekiti mpya wa UVCCM eti ni mpwa wa Magufuli.
Mimi sijui kama kweli huyo mtu ni mpwa wa Magufuli au la. Bado nasubiri uthibitisho na/au maelezo zaidi juu ya hilo.
Ila kwa sasa ningependa kupendekeza jambo moja au mambo kadhaa, kutegemea na mtu utavyolichukulia suala lenyewe.
Ni hivi, napendekeza iundwe sheria itayokataza viongozi wa serikali, kuanzia rais hadi viongozi wengine wenye madaraka na mamlaka ya kuteua watumishi, kuteua watu wa makabila yao, imani zao za dini, madhehebu yao ya dini, jinsia zifananazo na zao, watu watokao kanda watokazo wao, marafiki zao, majirani zao, jamaa zao, na mambo mengine kama hayo ili kuondoa haya manung’uniko ya upendeleo wa hiyo misingi katika utumishi wa umma.
Yaani kwa mfano kwa mfano, kama Magufuli ni Mkristo na Mkatoliki basi ni marufuku yeye kuteua watu wa imani ya Kikristo na Wakatoliki wenzie. Vilevile, itakuwa ni marufuku yeye kuteua watu wa kanda ya ziwa....yaani hakuna cha kuteua Mnyamwezi, Msukuma, Mkurya, Mhaya, Mjaluo na wengineo wote watokeao huko hata kama wana sifa nzuri namna gani. Pia hakuna kuteua wanaume.
Ateue Wachaga, Wagogo, Wandengereko, Wapagani, Waislamu, wanawake, na wengine ambao hafanani nao kwa namna yoyote ile ukiondoa labda rangi ya ngozi tu.
Naamini kwa dhati kabisa kuwa sheria kama hii italeta usawa, italifurahisha taifa, na itaondoa kabisa ubaguzi na upendeleo kwenye utumishi wa umma.
Thank you!
Ninachotaka uelewe ni kwamba ukiwa mnadhimu Mkuu sio lazima uje kuwa CDF...wafuatao waliwahi kuwa wanadhimu wakuu lakini hawakuwa ma-CDFs....
Brigadier General Tumainiel Kiwelu 1975-1980;
Major General Imrani Kombe 1980-1983;
Major General M.N. Mwakalindile 1983-1988;
Lieutenant General Kiwelu 1988-1994;
Lieutenant General G. F. Sayore from 1994-2001
Lieutenant General Iddi Gahu 2001-2006
Lieutenant General Abdulrahman Shimbo 2007-