duh kumbe hawa mabwana hawapati hela 7.2m ni kidogo ukichukulia wanatoa hela yao mfukoni kwa sababu serikali yetu haina fungu la maendeleo ya kila wilaya/constituency kama vile Kenya...wanatakiwa angalau kulipwa 15mil ...kumbuka wabunge wengi wanahudumia miradi na matumizi ya kila siku ya familia huko majimboni
Red: Kazi za mfuko wa jimbo ni zipi, maana kila mwezi kuna pesa inayotengwa kwa madhumini hayo
Blue: Si kazi ya Mbunge kuhudumia familia za wana jimbo, kila mwananchi anajihudumia kwa kufanya kazi halali. Mshahara wa mbungu ni kwa ajili yake yeye na familia yake. Mbona sijasikia Rais akisema anahudumia familia zote za Tanzania kwa mshahara wake?