Tumain
JF-Expert Member
- Jun 28, 2009
- 3,154
- 70
Wataje tuwafahamu walalamishi? kuna tofauti ya kudai kuna kero za muungano na kulalamikaHakika yashangaza !
Naona kuna moja hapa kana katabia hapa ka katoto kachanga kama alivyowahi kusema Mwalimu - ukikapata kanakunyea, ukikaacha kanalia. Nafikiri kuna janja ya nyani hapa - walalamishi wanajua sana faida za Muungano, wanauhitaji ati. Wakati Zenji wanahitaji Muungano, Bara ni muungano unawahitaji.
- Wale ambao hawaishi kulalamika kuhusu Muungano ndio hao hao wanakuwa mstari wa mbele kupinga kuvunjika kwake !
- Wale ambao hawaoni faida ya Muungano hawalalamiki lakini wapo mstari wa mbele kuunga mkono kuvunjika kwake !
Wataje tuwafahamu ambao hawaoni faida ya muungano?