MrFroasty
JF-Expert Member
- Jun 23, 2009
- 1,195
- 590
Hawa wazenj ni watu wa ajabu sana, mambo yao yakiwa mazuri hawautaki muungano; kama wakati walipodanganywa kuwa mafuta yamegunduliwa huko kwao; lakini mambo yanapowachachia ndio wanakumbuka kuwa kuna big brother[ muungano] kwamfano sasa wanapopata taabu ya umeme. Nyiewazenj mkumbuke kuwa YOU CANNOT EAT YOUR CAKE AND STILL HAVE IT!!
Kwani uwo umeme mnatugaia?Nafikiria umeme wa Tanganyika wanapewa zenji bure, ni mara ngapi Zenji imelinda soko la Tanesco huko visiwani?
Acha pumba wewe....Zanzibar ni kama client wa Tanesco, na hii wadanganyika wengi wamekuwa wakiona kama ndio wameshika mpini kuwa wanauza umeme visiwani humo.
Aminia CUF wakiingia madarakani tunatafuta chanzo chengine cha umeme, tushachoka na migao na milipuko!