Mapambano ya vita dhidi ya ufisadi ni kiini macho CHADEMA?

Mapambano ya vita dhidi ya ufisadi ni kiini macho CHADEMA?

Kabewa

Senior Member
Joined
Oct 30, 2009
Posts
136
Reaction score
56
UTHABITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) katika kupambana na ufisadi nchini, umetiliwa shaka, siku chache baada ya aliyekuwa mwanachama mwandamizi wa NCCR-Mageuzi, Mabere Marando, kujiunga nacho.

Shaka hiyo inatokana na kile kilichoelezwa na baadhi ya wachambuzi wa masuala ya kisiasa, dhima aliyonayo Marando ndani na nje ya chama hicho, kuhusiana na mapambano dhidi ya ufisadi ambayo yamekuwa yakipewa kipaumbele na chama hicho cha upinzani.

Marando ambaye ni mwanasheria kitaaluma na wakili wa kujitegemea, ni mmoja wa mawakili wanaotetea watuhumiwa wa kesi za ufisadi wa Akaunti ya Madeni ya Nje (EPA) ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT) katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam.

Katika kesi hizo, Marando anatetea washtakiwa wawili ambao ni Jayant Kumar ‘Jeetu Patel’, mwenye kesi nne katika Mahakama hiyo; namba 1153/08, 1154/08, 1155/08 na 1157/08 na Esther Mary Komu mwenye kesi namba 1164/08.
 
UTHABITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) katika kupambana na ufisadi nchini, umetiliwa shaka, siku chache baada ya aliyekuwa mwanachama mwandamizi wa NCCR-Mageuzi, Mabere Marando, kujiunga nacho.

Shaka hiyo inatokana na kile kilichoelezwa na baadhi ya wachambuzi wa masuala ya kisiasa, dhima aliyonayo Marando ndani na nje ya chama hicho, kuhusiana na mapambano dhidi ya ufisadi ambayo yamekuwa yakipewa kipaumbele na chama hicho cha upinzani.

Marando ambaye ni mwanasheria kitaaluma na wakili wa kujitegemea, ni mmoja wa mawakili wanaotetea watuhumiwa wa kesi za ufisadi wa Akaunti ya Madeni ya Nje (EPA) ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT) katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam.

Katika kesi hizo, Marando anatetea washtakiwa wawili ambao ni Jayant Kumar ‘Jeetu Patel', mwenye kesi nne katika Mahakama hiyo; namba 1153/08, 1154/08, 1155/08 na 1157/08 na Esther Mary Komu mwenye kesi namba 1164/08.
Unajua sometimes inakuwa huna jinsi unapokuwa referee kwenye mechi ambayo timu yako unayoipenda inacheza na wapinzani.
Swala la Marando kuwa wakili wa watuhumiwa wa kesi ya EPA sidhani kama ni kigezo cha kumwona na yeye ni fisadi.
Hiyo ndio proffesion yake na utetezi ndio kazi yake.
 
UTHABITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) katika kupambana na ufisadi nchini, umetiliwa shaka, siku chache baada ya aliyekuwa mwanachama mwandamizi wa NCCR-Mageuzi, Mabere Marando, kujiunga nacho.

Shaka hiyo inatokana na kile kilichoelezwa na baadhi ya wachambuzi wa masuala ya kisiasa, dhima aliyonayo Marando ndani na nje ya chama hicho, kuhusiana na mapambano dhidi ya ufisadi ambayo yamekuwa yakipewa kipaumbele na chama hicho cha upinzani.

Marando ambaye ni mwanasheria kitaaluma na wakili wa kujitegemea, ni mmoja wa mawakili wanaotetea watuhumiwa wa kesi za ufisadi wa Akaunti ya Madeni ya Nje (EPA) ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT) katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam.

Katika kesi hizo, Marando anatetea washtakiwa wawili ambao ni Jayant Kumar ‘Jeetu Patel', mwenye kesi nne katika Mahakama hiyo; namba 1153/08, 1154/08, 1155/08 na 1157/08 na Esther Mary Komu mwenye kesi namba 1164/08.
Je CCM na Makamaba anaetetea mafisadi je utasemaje?
Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa TZ inasema kila mtu ana haki ya kutetewa mahakamni...
 
Mbona wauaji nao hupatiwa huduama za kisheria. Haya ni mambo mawili tofauti kabisa.
 
Huyo mtu ni shushushu wa ccm na serikali. si mtu mzuri na nawahakikishieni huyo jamaa ameenda kukiua chama. Time will tell and we will see.
 
Hivi akiwatetea wakashinda siatakua ameiangusha chadema katika upambanaji kwasababu wataonekana hawana hatia na watu wataaminishwa kuwa akina Jitu ni watu safi na chadema walikuwa wanawahisi tu hawana ushahidi?
mchango wenu tafadhali
 
Hivi akiwatetea wakashinda siatakua ameiangusha chadema katika upambanaji kwasababu wataonekana hawana hatia na watu wataaminishwa kuwa akina Jitu ni watu safi na chadema walikuwa wanawahisi tu hawana ushahidi?
mchango wenu tafadhali

hizi ni propaganda za chama cha mafisadi - ccm

zinafaa sana pale lumumba na kwenye vijiwe vya kahawa
 
Huyo mtu ni shushushu wa ccm na serikali. si mtu mzuri na nawahakikishieni huyo jamaa ameenda kukiua chama. Time will tell and we will see.

wana ccm lini mkawa na uchungu na vyama vya upinzani? eti amekwenda kuua chama, so what? i thought sasa hivi mngekuwa mnasherehekea (iwapo hii ni kweli?)
 
Back
Top Bottom