Heshima kwako Jesuit.
Mkuu ni kweli CHEDAMA wamekuwa mstari wa mbele kuwaponda Sitta,Nape na Dr Mwakyembe ajabu ni kwamba sasa hivi wanatumia hata vyombo vyao vya habari[Tanzania Daima] kuwatetea Lowassa,Rostam Azziz na A chenge.
tanzania daima si mali ya CDM
mapacha hawatetewi na CDM
pERSONALLY MAPACHA wanaonewa manake kama ni UFISADI basi mpaka JK kahusika iwaje only waondolewe MAPACHA?